Nini Dawa ya Ushoga?

Pole sana ndugu. Ameanzaje??angalia pia mnavyomleya au alikuwa boarding school?? au mlikuwa mbali na mtoto?malezi yanahitaji kuwa karibu na watoto zaidi na pia sishauri wazazi kupeleka watoto wadogo shule za boarding. Hakuna control nzuri kule na wengi sana wanaharibikia huko. Inabidi turudie maadili ya baba na babu zetu sasa, mambo ya kuiga wazungu tuache!! natanguliza pole sana, it real hurts!!!
 
Pole sana ndugu. Ameanzaje??angalia pia mnavyomleya au alikuwa boarding school?? au mlikuwa mbali na mtoto?malezi yanahitaji kuwa karibu na watoto zaidi na pia sishauri wazazi kupeleka watoto wadogo shule za boarding. Hakuna control nzuri kule na wengi sana wanaharibikia huko. Inabidi turudie maadili ya baba na babu zetu sasa, mambo ya kuiga wazungu tuache!! natanguliza pole sana, it real hurts!!!

Asante mdau uko sahihi
 
Pole sana mkuu.. But uligundua vipi? Katika mazingira gani? I think ukifafanua itasaidia zaidi.. Ni vizuri kujua chanzo kabla ya ku offer possible solutions..

Kimsingi alianza kwa kubakwa na wenzake kila jioni kwenye michezo. Anasema walikuwa wanamfunga kwenye tairi then wanafanya huo uchafu wao. Baada ya kugundu hilo nilijaribu kuongea nae sana na fimbo kidogo lakini bado inaonekana hajaacha hiyo tabia.
 
Anaingiliwa kimwili na wenzake. Inauma sana but ..we acha tu, kulea kazi
 
Pole sana mkubwa.Ebu kwanza chukua hatua za hara kumpeleka hospitali ili wampige bomba coz utakuta mijitu mizima ishajimegea huko na kumwachia madini. Pia mpime afya yake uwezi jua hata wanaomfanyia huo ushetani hawatumii mipira.Kisha kazana sana kumtafutia specialist wa sakolojia angali bado mtoto ili asipotee zaidi na pia wewe mwenyewe ujitahidi kuwa nae karibu ili kukotrol nyendo zake
 
pole ndugu! umegunduaje? nani anamfanyia? kama ni ndugu unaoishi nao timua, kama shule muhamishe, kam marafiki wapige stop. halafu mpleke hospitali kisha kwa viongozi wa dini mnayoabudu kwa ajili ya kanseling, ila nanyi inabidi mfanye maombi ya makusudi kuomba Mwenyezi Mungu amwepushe mtoto na hili. itakubidi ujue na uisimamie ratiba yote ya mtoto kuanzia sasa. mtoto inabidi aambiwe hiko ni kitendo kibaya hata Mungu hapendi.... INAUMIZA SANA
 
Mtu mmoja akasema zamani watoto wa Kike walikuwa wanazuiwa kwenda dukani aidha usiku au hata Mchana ila huku tuendako nadhani utaratibu utabadilika Wakiume watakuwa wanabaki Nyumbani wakike ndo watakuwa wanatumwa. Anyway pole sana Mkuu ushauri mbali mbali umeshatolewa mi nadhani ujaribu kuchuja ule utakao kufaa ufanyie kazi ila talk to him friendly na uwe karibu naye sana mambo yatabadilika tu. God is good
 
Pole sana. Ukweli ni kwamba inauma sana kwa mzazi kuwa na mtoto shoga. Mzazi kama mzazi hufurahia pale anapojaliwa kupata mtoto wa kiume na kumlea hadi afikie kuwa baba na wa kike na kuwa mama. Tofauti na matarajio hayo huleta uchungu mzito moyoni.

Kuna baadhi ya mambo ambayo mzazi ni lazima ayajue/ayaangalie wakati wa kulea watoto wake.
1. Chunguza na kujua tabia za watoto wako tangu wakiwa wadogo/wachanga
2. Chunguza uwezo wao kiakili, afya zao, utendaji kazi wa milango yao ya faham, homon zao n.k.
3. Andaa mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na kujua wanapenda michezo gani, wanacheza na nani, wapi, wakati gani, watu wanaoshinda nao nyumbani na shuleni wana tabia gani, wanalala katika mazingira gani. Chunguza haya kadri siku zinavyoenda nao wanavyozidi kukuwa na kubadilika kimaumbile.

Kuna wakati mwingine kwa kufanya hivi kunaweza kusaidia kuzuia uwezo wa watoto wa kupokea tabia mbaya kutoka kwa wengine. Ni vizuri kukaa na kuongea na watoto kuhusu tabia mbalimbali zinazoweza kuwasaidia au kuwapotosha.

Kwa bahati mbaya, ikitokea umegundua tabia kama hizi za ushoga, bado usisite kuongea na mtoto, kipindi hiki huna sababu ya kuwa mkali hadi utakapopata taarifa kamili za sababu zilizopelekea yeye kuwa shoga. Kama ni vishawishi na vitisho, au ni kwa kuona na kutaka kujaribu mchezo huo, au ni kujisikia na kupenda kufanya hivvyo. Jambo hili si rahisi, unaweza kuwashirikisha watoa ushauri nasaha maana kama mtoto amefikia kuwa shoga, hatua za haraka zenye uhakika zinapaswa kuchukuliwa ili kumtoa kwenye tabia hizi, la sivyo utampoteza kabisa.

Naandika hapa kama mzazi, jambo hili limenigusa, sina utaalamu sana katika hili. Ila usiache kutafuta msaada kwa wataalamu.
 
Kwanza Pole kwa Jaribu hili kubwa

Lakini mazingira yaliyofanya wewe utambue hili ni muhimu ktk kupata suluhisho

Mungu anaweza badirisha hayo yote, ukimwomba kwa kumaanisha

Kwa umri wa mtoto na Mazingira yaliyokufanya utambue hali ya mtoto , Kiboko kinaweza tumika na Washauri nasaha pia

wanaweza saidia

Jipe Moyo chukua Hatua mapema
 
Ushoga unasababishwa na faulty eating habits. Dawa yake ni kusahihisha eatiing habits,na drugs,kurekebisha hormones.
 
Ushoga unasababishwa na faulty eating habits. Dawa yake ni kusahihisha eatiing habits,na drugs,kurekebisha hormones.
"Faulty eating habits" kivipi mkuu? Hili tatizo si zaidi bali inatokana na kasoro ya wazazi kumruhusu aendelee kucheza na kundi la watoto ambao ni wazi ni "predators" kwa watoto wenzao, bila ya kujaribu kuwadhibiti hao wenzake au mwanao waache tabia hiyo. Hawa wenzake wanamu-abuse huyu mtoto, halafu cha ajabu, mzazi anakuja kulalalimka humu eti mwanae ni "shoga". In fact, si mtoto aliye "passive" au mwenye kosa, bali ni wazazi wake walioshindwa kutafuta namna ya kuzuia mwanao kunajisiwa zaidi ya kumwadhibu kwa kumchapa fimbo huku wakilalamika kuwa ni "shoga".
 
Mkuu you talk of homosexuality as if it was a psychological disease resulting from repetitive abuses...
"Faulty eating habits" kivipi mkuu? Hili tatizo si zaidi bali inatokana na kasoro ya wazazi kumruhusu aendelee kucheza na kundi la watoto ambao ni wazi ni "predators" kwa watoto wenzao, bila ya kujaribu kuwadhibiti hao wenzake au mwanao waache tabia hiyo. Hawa wenzake wanamu-abuse huyu mtoto, halafu cha ajabu, mzazi anakuja kulalalimka humu eti mwanae ni "shoga". In fact, si mtoto aliye "passive" au mwenye kosa, bali ni wazazi wake walioshindwa kutafuta namna ya kuzuia mwanao kunajisiwa zaidi ya kumwadhibu kwa kumchapa fimbo huku wakilalamika kuwa ni "shoga".
 
Mkuu you talk of homosexuality as if it was a psychological disease resulting from repetitive abuses...

No, I'm afraid that's not the gist of my posting. All what I'm trying to say is that the kid doesn't deserve to be labelled as "homosexual" at all (given age and circumstances, among ather things), but on the contrary, happens to be a simple victim of sexual predation of a homosexual nature from his peers, who, in this case, simply get away scotfree from this otherwise (in my opinion), very serious case of sexual abuse of minors by other minors.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom