Wakuletwa
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 134
- 9
Habari wana JF!
Mtoto wa Wangu amegeuka shoga ana miaka 13. Nifanyeje ili kumtoa katika janga hili? Naomba msaada wenu wa mawazo ndugu zangu.
Roho inaniuma lakini sina cha kufanya!
Mtoto wa Wangu amegeuka shoga ana miaka 13. Nifanyeje ili kumtoa katika janga hili? Naomba msaada wenu wa mawazo ndugu zangu.
Roho inaniuma lakini sina cha kufanya!
Kuna jamaa yangu kwa muda mrefu tangu nijuane nae sijawahi kumuona wala kusikia hata tetesi kua ana demu ila kishule shule tulipokua boarding school nilipata tetesi kua kuna watoto wanamgonga.
Yeye nilivyomuuliza alikataa alikua anajitetea kua ni mlokole ila jana ndo kashindwa kuvumilia amenifuata maana umri umeenda na wazazi wake wanamtaka aoe na hana sababu ya kukataa coz ana kazi nzuri mshahara mkubwa hila tatizo haifanyi kazi.
Ameniambia tangu tulipokua boarding school alianza tabia za kishoga mpaka anamaliza chuo kikuu I mean kaanza huo mchezo zaidi ya miaka 10.
Sasa hivi anataka kuacha hili aoe. Je, atumie njia gani hili aache ushoga na aweze kufanyakazi kama wanaume wengine?