Fadhili Paulo JF-Expert Member Sep 1, 2011 3,211 988 Nov 16, 2012 #21 Nitajie urefu wako ktk cm na uzito wako ktk kg, kisha nitarudi kukuandikia dozi
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Nov 17, 2012 #22 Makalio makubwa yanatokana na genes, hata ukikonda kijungu kutakuwepo kutokana na saize ya mwili. Squirts sidhani kama yanapunguza, huwa yanaenhance zaidi.
Makalio makubwa yanatokana na genes, hata ukikonda kijungu kutakuwepo kutokana na saize ya mwili. Squirts sidhani kama yanapunguza, huwa yanaenhance zaidi.
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Nov 17, 2012 #23 The Boss said: Mnhhnhnnnnn Click to expand... The Boss usigune,kuna wanaume wame barikiwa aisee. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Pionaire JF-Expert Member Oct 24, 2012 1,595 1,118 Dec 10, 2012 #24 sasa mkuu fadhili 2patie contact zako ili 2ipate iyo dozi.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Dec 10, 2012 #25 2k Genius said: aisee poa mkali,ila tatizo ki2 cha mwanza hki Click to expand... pungiza kula sato, ndo mchawi wako.
2k Genius said: aisee poa mkali,ila tatizo ki2 cha mwanza hki Click to expand... pungiza kula sato, ndo mchawi wako.