aisee poa mkali,ila tatizo ki2 cha mwanza hkiUngeweka picha tuyaone kwanza...kidding bhana nashauri nenda kwenye Gym watakusaidia sana sio Gym ambazo hazina wataalamu hebu nenda Pale Fitness Master muone dada mmoja anaitwa Sys, FitnessMaster wapo Tunisia Road, Karibu na Viwanja vya Leaders Clud-Dar es Salaam
aisee poa mkali,ila tatizo ki2 cha mwanza hki
Mkuu Azote what are you mean starvation?starvation
mkuu azote what are you mean starvation?
pUNGUZA KULA KITI MOTO PIA..TEHETEHEEEE!hivi jaman kama mwanaume una makalio makubwa nini dawa ya kupunguza?msaada wenu pliz
Je ni makalio tu au hata na mwili ni manyama uzembe? kama ndiyo nikushauri namna ya kupunguza uzito na manyama uzembe ambayo hayahitajiki badala yake yanakusababishia matatizo na uzee. healthwealthfirst@gmail.com
bibie Miss-Thang sorry missing wordwhat "do" you mean.
Mkuu Baba V Watu wanafikiria kukaa na njaa ndio Dawa ya kupunguza makalio ya Mwanamme? ehh jamani kasheshe kweliWhat do you mean by starvation?
bibie Miss-Thang sorry missing word
Mkuu Baba V Watu wanafikiria kukaa na njaa ndio Dawa ya kupunguza makalio ya Mwanamme? ehh jamani kasheshe kweli
Mkuu 2k Genius Sio mzozo fanya mazoezi utapungukiwa na huo Mgogoro wa Yanga Makalio yatapunguwa uwe kila siku Asubuhi unakunywa Asali kijiko kimoja na maji glasi moja ya uvuguvugu na weka kipande kimoja cha limau kunywa asubuhi kabla ya kula kitu fulululiza kwa muda wa miezi 6 kisha uje hapa ulete feedback yako hapa.kukaa njaa mbona mzozo jombaa