Yana Mwisho
Member
- Apr 11, 2008
- 47
- 5
Kama unajipenda hope utampenda na mkeo. Na kama unampenda huwezi kumdhalilisha hivyo. DAWA hapo ni HOFU ya Mungu tu. Ukijua kila chochote ufanyacho Mungu anakuona na kina malipo yake, hutamsaliti mkeo tena!
waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama miatau iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife coz tangu tuowane nimeshapiga kama madem watano(5) in total na ki ukwali c kwamba nakuwa nimewapenda no!,ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu bonge kdogo basi nataka kuonja ikoje and so forth.na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda bank 1 kwa shughul za kikaz ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta matejo mengi na kunipa namba zake za sim ki ukwel alikuwa mrembo duh!uzalendo ukanishinda nikaiuka kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa nduguzangun wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
Nawasilisha.
Mfumanie mkeo kakunjwa ka tairi na mpemba....na!!Waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama miatau iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife coz tangu tuowane nimeshapiga kama madem watano(5) in total na ki ukwali c kwamba nakuwa nimewapenda NO!,Ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu bonge kdogo basi nataka kuonja ikoje and so forth.Na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.Sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda Bank 1 kwa shughul za kikaz ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta matejo mengi na kunipa namba zake za sim ki ukwel alikuwa mrembo Duh!uzalendo ukanishinda nikaiuka kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa Nduguzangun wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
Nawasilisha.
Mfumanie mkeo kakunjwa ka tairi ya bajaji na dume la kipemba... akili na busara yako itakaa sawa tu!!!:bump:Waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama miatau iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife coz tangu tuowane nimeshapiga kama madem watano(5) in total na ki ukwali c kwamba nakuwa nimewapenda NO!,Ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu bonge kdogo basi nataka kuonja ikoje and so forth.Na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.Sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda Bank 1 kwa shughul za kikaz ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta matejo mengi na kunipa namba zake za sim ki ukwel alikuwa mrembo Duh!uzalendo ukanishinda nikaiuka kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa Nduguzangun wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
Nawasilisha.
waungwana mwenzenu nimeoa miaka kama miatau iliyopita mi na bi mkubwa twapendana sana tu,ila mimi kwa upande wangu nahisi simtendei haki my wife coz tangu tuowane nimeshapiga kama madem watano(5) in total na ki ukwali c kwamba nakuwa nimewapenda no!,ni tamaa tu coz my wife ni portable flan so unakuta labda nimekutana na demu bonge kdogo basi nataka kuonja ikoje and so forth.na gia yangu kubwa ninayowapatia hawa dada zangu ni lift huwa ni mwepes sana kupiga brake pindi nikutanapo na niliemtamani.sasa kiukwel imenikifu na ninahitaji kubadili tabia japo cjwai kula kavukavu hata mmoja lakin nahisi namdhulumu wife sana sasa nilijaribu kuweka dhamira kipindi flan mimi mwenyewe kwamba kuanzia leo ctak mwanake yyote na ninakumbuka nilinote kwanye dairy yangu na nikaweka sain chini ya hicho kiapo changu,lakin ilikuwa ndo nimechokoza coz nilijilisha kiapo saa 2 asubuh then kwenye saa 6 nikaenda bank 1 kwa shughul za kikaz ghafla huyo bank teller aliekuwa ananiudumia akaleta matejo mengi na kunipa namba zake za sim ki ukwel alikuwa mrembo duh!uzalendo ukanishinda nikaiuka kile kiapo nilichojiwekea.
Sasa nduguzangun wake kwa waume naomba ushauri wenu ni jins gani nitaweza kuachana na haka katabia cha kumsaliti my wife jaman coz wife ananiamin mno,na ctak mpaka aje agundue coz mmmhhhh,itakuwa ni mbaya sana.
Nawasilisha.