grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Tafuta makanisa ya TAG (Tanzania Assemblies of God) onana na wachungaji wake, tofauti na hapo kitakachokupata usilaumu.sasa hap ndo patamu nisaidie kupata watumishi wa mungu wa kweli sio mtumishi wa dini unaenda kumuelezea tatizo lako anaenda kukuombea kwa kukushika ------ so nisaidie kama katika dunia hii ya mwisho kama yupo atakaeweza kunisaidia na si kunitaka anipakuwe tena.