Umasikini sio sababu.Inaonyesha kuwa ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwasababu ya umasikini ambao unapelekea ndoa nyingi kuvunjika .je hiyo ni sababu ya mzingi inayopelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa jamii ya sasa ?
Inaonyesha kuwa ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwa sababu ya umasikini ambao unapelekea ndoa nyingi kuvunjika .je hiyo ni sababu ya mzingi inayopelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa jamii ya sasa ?
siko mbali nawe umeniwai tu, umaskin si tatizo mbona hata matajir pia humwagwa1.Watu wengi wanaingia katika ndoa bila kujua majukumu na wajibu wao kama mume au mke.
2.Wengi wao kushindwa kuvumilia mapungufu ya kibinadamu aliyonayo mwenzake.
Inaonyesha kuwa ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwasababu ya umasikini ambao unapelekea ndoa nyingi kuvunjika .je hiyo ni sababu ya mzingi inayopelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa jamii ya sasa ?