ila Slaa ni mwanachama hai wa vyama viwili vya siasa
Kaka una uthubuti safi saana.Kilitokana na Wafanyabiashara wa Kichaga. Yaani Chagga Development Manifestor. Lengo lilikuwa kulinda Masilahi ya Wafanyabiashara. Baadaye Mtei na akina Ndesambulo wakaona kiwe chama cha Kisiasa na kubadili jina kuwa CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO, ili kupanua Wigo wa Mapato zaidi.
Mwenye hoja nje na hizi aseme ukuntu wa hiyo hoja.
Dada waridi nitakushukuru sana kama utanipatia hivyo vyanzo