Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,831
- 3,499
You are wrong! Kwanza Wajerumani hawakuwa na shida na samaki. target yao ilikuwa malighafi yamadini, pembe za ndovu na ardhi ya kilimo. Tanga ndiko ilikokuwa ikulu yao na walifungua mashmba makubwa ya katani huko. Ikulu waiihamisha Dar baada ya kuteka kwa nguvu maili nane iliyokuwa himaya ya Sultani wa Zanzibar. Asili yakeni Tanga yaani nyika ya kuelekea Tanga, baada ikitwa Tanganyika.Kweli kabisa, ni combination ya majina mawili ya samaki was Ziwa Tanganyika: intanga n'inyika,