Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kwa hiyo comrade unatuambia kwamba jina Tanga lilikuwepo kabla ya jina Tanganyika? Na kama ni hivyo sasa mkoa wa Tanga ulikua uko ndani ya nchi inayoitwaje?
Kabla ya 1885 Africa ilikuwa na nchi rasmi zifuatazo: Ethiopia, Liberia na Egypt....kwingineko yalikuwa 'maeneo" tu bila mipaka rasmi