Nini asili ya jina Tanganyika na Nani alilitunga jina hili?

Bora wewe umetoa maelezo yenye mashiko!!!

Ningependa kuongezea kidogo:

Wajerumani walivyokuja waliipenda sana milima ya Usambara hususani Usambara Mashariki (Amani). Walikuta wenyeji Wasambaa, Wabondei na Wadigo maeneo yale.

Wabondei walikuwa wakiyaita maeneo ya tambarare yanayoelekea bahari ya Hindi NTANGA(au TANGA kwa kiswahili chepesi) wakimaanisha Shambani.

Hiyo ndio source ya jina Tanga. Kazi ikawa kwenye maeneo ya interior ya Tanzania. Wasambaa na Wabondei waliyaita maeneo ya mbali na kwao kwa jina la NYIKA (sawasawa na jina KYASAKA kwa kichagga). Wajerumani walivyowauliza wenyeji jina la maeneo yaliyoko mbali na kwao ukiachilia mbali eneo la pwani ya bahari ya Hindi walisema ni NYIKA. Ndipo wajerumani walipoamua kulipa koloni lao la DUTCH OSTA AFRIKA jina la TANGANYIKA meaning TANGA na NYIKA ZAKE au TANGA INCLUDING ITS INTERIOR LANDS
Kaka nadhan umepata pcha jnsi lilivopatikana.

Kabla ya kujulikana ilo kuliku kunaitwa interior from indian ocean.
Then huyu mzungu ndo akaja na jinsi yake ya kuelezea.
Mean from Tanga to nyika land.
Maana alikutana na majan maref na mapori ambavyo coast hayakuwepo ambayo na wenyej waliziita nyika thats y akawa anatoa direction kwamba ukiwa tanga then u move to nyika land.
Ndo Tanganyika ikawa created ivyo.hope umepata idea.
 
Bora wewe umetoa maelezo yenye mashiko!!!

Ningependa kuongezea kidogo:

Wajerumani walivyokuja waliipenda sana milima ya Usambara hususani Usambara Mashariki (Amani). Walikuta wenyeji Wasambaa, Wabondei na Wadigo maeneo yale.

Wabondei walikuwa wakiyaita maeneo ya tambarare yanayoelekea bahari ya Hindi NTANGA(au TANGA kwa kiswahili chepesi) wakimaanisha Shambani.

Hiyo ndio source ya jina Tanga. Kazi ikawa kwenye maeneo ya interior ya Tanzania. Wasambaa na Wabondei waliyaita maeneo ya mbali na kwao kwa jina la NYIKA (sawasawa na jina KYASAKA kwa kichagga). Wajerumani walivyowauliza wenyeji jina la maeneo yaliyoko mbali na kwao ukiachilia mbali eneo la pwani ya bahari ya Hindi walisema ni NYIKA. Ndipo wajerumani walipoamua kulipa koloni lao la DUTCH OSTA AFRIKA jina la TANGANYIKA meaning TANGA na NYIKA ZAKE au TANGA INCLUDING ITS INTERIOR LANDS
Hii imesimama zaidi
 
Na ziwa tanganyika jee? Au lilipewa jina baada ya kupewa jina nchi ya tanganyika?

Ila ukisoma vitabu kama autobiography ya Tipp Tip na safari za Mwinyi Mtoro ambazo ziliandikwa kwenye late 1800's hakukuwa na reference ya Tanganyika wala mipaka ya nchi. Wao reference zao zilikuwa kwa machifu na majina ya vijiji.
 
Wewe umepatia kabisa na kwa jinsi wasukuma walivyo wengi lazima ilienea ghafla na kuwa Tanganyika.
wasukuma waliita jina hili baada ya kuona nchi yetu imekosa mwelekeo tokea awali "enzi hizo" kifimbo baada ya kushtuka ndo akaamuru kila penye neno tanganyika liwekwe tz. na lisingekuwepo tz sijui angeita ninii.
 
Wadau,ikiwa asili ya jina la Tanzania lilitokana na muunganiko wa majina ya nchi hizi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar kama tujuavyo,je kuna yeyote anaefahamu asili ya jina la nchi ya Tanganyika? Please!!

Kama hujui lolote katika hili,si vibaya ukapita tu.

Nawasilisha!
 
Wadau,ikiwa asili ya jina la
Tanzania lilitokana na muunganiko wa majina ya nchi hizi mbili yaani
Tanganyika na Zanzibar kama tujuavyo,je kuna yeyote anaefahamu asili ya
jina la nchi ya Tanganyika? Please!! Kama hujui lolote katika hili,si
vibaya ukapita tu.Nawasilisha!

ni tanga+nyika, nyika ikimaanisha pori(bara kipindi hiko) na tanga ni pwani!
hii ni kutoka kwa babu yangu binafsi nilimuamini ndo maana nikachangia kwny uzi huu
 
Asili ya Tanganyika ni aina 2 ya samaki wanaopatika katika ziwa tanganyika. yaani NYIKA NA TANGA. nyika ni samaki maarufu sana katika ziwa tanganyika kuwa na umeme yaani huwezi kumshika kwa mikono anapiga short. TANGA ni aoina ya samaki maarufu sana kwa kuwa mtamu sana kuliko samaki wengine waziwa hilo. kwa sababu ya uamaarufu wa samaki hawa ndiyo maana ziwa likwapewa jina la TANGANYIKA.
 
Asili ya Tanganyika ni aina 2 ya samaki wanaopatika katika ziwa tanganyika. yaani NYIKA NA TANGA. nyika ni samaki maarufu sana katika ziwa tanganyika kuwa na umeme yaani huwezi kumshika kwa mikono anapiga short. TANGA ni aoina ya samaki maarufu sana kwa kuwa mtamu sana kuliko samaki wengine waziwa hilo. kwa sababu ya uamaarufu wa samaki hawa ndiyo maana ziwa likwapewa jina la TANGANYIKA.

Mkuu! Tanganyika na Ziwa Tanganyika kipi cha kwanza kuitwa Tanganyika?
 
ni tanga+nyika, nyika ikimaanisha pori(bara kipindi hiko) na tanga ni pwani!
hii ni kutoka kwa babu yangu binafsi nilimuamini ndo maana nikachangia kwny uzi huu

nami nishawahi kusikia hivyo:crazy:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom