Bora wewe umetoa maelezo yenye mashiko!!!
Ningependa kuongezea kidogo:
Wajerumani walivyokuja waliipenda sana milima ya Usambara hususani Usambara Mashariki (Amani). Walikuta wenyeji Wasambaa, Wabondei na Wadigo maeneo yale.
Wabondei walikuwa wakiyaita maeneo ya tambarare yanayoelekea bahari ya Hindi NTANGA(au TANGA kwa kiswahili chepesi) wakimaanisha Shambani.
Hiyo ndio source ya jina Tanga. Kazi ikawa kwenye maeneo ya interior ya Tanzania. Wasambaa na Wabondei waliyaita maeneo ya mbali na kwao kwa jina la NYIKA (sawasawa na jina KYASAKA kwa kichagga). Wajerumani walivyowauliza wenyeji jina la maeneo yaliyoko mbali na kwao ukiachilia mbali eneo la pwani ya bahari ya Hindi walisema ni NYIKA. Ndipo wajerumani walipoamua kulipa koloni lao la DUTCH OSTA AFRIKA jina la TANGANYIKA meaning TANGA na NYIKA ZAKE au TANGA INCLUDING ITS INTERIOR LANDS
Ningependa kuongezea kidogo:
Wajerumani walivyokuja waliipenda sana milima ya Usambara hususani Usambara Mashariki (Amani). Walikuta wenyeji Wasambaa, Wabondei na Wadigo maeneo yale.
Wabondei walikuwa wakiyaita maeneo ya tambarare yanayoelekea bahari ya Hindi NTANGA(au TANGA kwa kiswahili chepesi) wakimaanisha Shambani.
Hiyo ndio source ya jina Tanga. Kazi ikawa kwenye maeneo ya interior ya Tanzania. Wasambaa na Wabondei waliyaita maeneo ya mbali na kwao kwa jina la NYIKA (sawasawa na jina KYASAKA kwa kichagga). Wajerumani walivyowauliza wenyeji jina la maeneo yaliyoko mbali na kwao ukiachilia mbali eneo la pwani ya bahari ya Hindi walisema ni NYIKA. Ndipo wajerumani walipoamua kulipa koloni lao la DUTCH OSTA AFRIKA jina la TANGANYIKA meaning TANGA na NYIKA ZAKE au TANGA INCLUDING ITS INTERIOR LANDS
Kaka nadhan umepata pcha jnsi lilivopatikana.
Kabla ya kujulikana ilo kuliku kunaitwa interior from indian ocean.
Then huyu mzungu ndo akaja na jinsi yake ya kuelezea.
Mean from Tanga to nyika land.
Maana alikutana na majan maref na mapori ambavyo coast hayakuwepo ambayo na wenyej waliziita nyika thats y akawa anatoa direction kwamba ukiwa tanga then u move to nyika land.
Ndo Tanganyika ikawa created ivyo.hope umepata idea.