ulimboka sidhani kama atakuwa ameshapona, kwasababu kipigo alichopigwa kilikuwa kikubwa sana, kungólewa meno, kucha, kuvuliwa suruali (sidhani kama tigo waliiacha) na mengine mengi, namshauri akirudi aje aachane na mambo ya migomo atafute maisha ya watoto wake na mke wake tu, kwasababu kama kuimwagia damu tz tu kwa nafasi yake ameshafanya na msg sent, hivyo awaachie wengine waifie tz na si yeye.....this is my very advice to him.