Kimbojo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2009
- 387
- 54
Baada ya Mh. Tundu Lissu kurejea taarifa ya Kamati teule ya bunge juu ya Jairo scandal alitaja baadhi ya majina ya watu waliolipwa posho kubwa (500000) kwa siku. Moja kati ya majina hayo ni Dalai Kafumu ambaye ni mbunge mpya wa Igunga.
Pinda kwenye utangulizi wa hotuba yake , alimpongeza huyo mlipwa posho kubwa kwa ushindi wake na kuisifia CCM kwa ushindi huo. Ningekuwa mimi ninge edit hotuba yangu na kuacha hayo ya uchanguzi wa igunga kwani ni aibu kubwa kusifia mtu anayetajwa kwenye jairo scandal(ufisadi) Kwa hili ni aibu kwa CCM na wanaigunga.
Pinda kwenye utangulizi wa hotuba yake , alimpongeza huyo mlipwa posho kubwa kwa ushindi wake na kuisifia CCM kwa ushindi huo. Ningekuwa mimi ninge edit hotuba yangu na kuacha hayo ya uchanguzi wa igunga kwani ni aibu kubwa kusifia mtu anayetajwa kwenye jairo scandal(ufisadi) Kwa hili ni aibu kwa CCM na wanaigunga.