Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Ningekuwa mi nipo nafasi aliyopo wenger kweli nisingekwenda nunua wachezaji wanaotaka pesa nyingi za mshahara na transer fee bali ningeopt kumnunua Clint Demsey akaja ziba nafasi ya Benayoun anaerudi chelsea....alafu then ningeenda pale Leeds nikamnunua Casper schmichael akaja akawa Back up ya Wosjiech kwani makipa vijana wanafanya vizuri siku hizi mtazame Joe Hart,De gea,Wosjiech...vorm, craig gordon...
tatu ningejikakamua nikamnunua M'villa na Beki mmoja wa Kati kama Back up ya per na TV5..maana Squillaqi yule ni galasa babake...na lazima ningelifanya kila niwezalo kumzia RVP asiondoke..hata kama ni kuondoka kwa bosman free transfer next season na kumuombea aumie katika mashindano ya EURO ili hao wanajifanya wanampenda tuone kama hawajaingia mitini....na ningemrudisha Rio Miyaichi toka pale Bolton maana dogo huyu wa ukweleeee jamanii atakuja tisha sana huyu dogo na Joe Campbell ningemuacha LORIENT kwa msimu mwingine ili akomae zaidi
Mwisho ningempeleka Ramsey Loan ili akakuze confidence yake iliyopotea na hapo baada ya kumtizama kutoka september mpaka january perfomance yake........
Chamackh,squillaqi,bendtner,fabianski,diaby wote ningewatoa
tatu ningejikakamua nikamnunua M'villa na Beki mmoja wa Kati kama Back up ya per na TV5..maana Squillaqi yule ni galasa babake...na lazima ningelifanya kila niwezalo kumzia RVP asiondoke..hata kama ni kuondoka kwa bosman free transfer next season na kumuombea aumie katika mashindano ya EURO ili hao wanajifanya wanampenda tuone kama hawajaingia mitini....na ningemrudisha Rio Miyaichi toka pale Bolton maana dogo huyu wa ukweleeee jamanii atakuja tisha sana huyu dogo na Joe Campbell ningemuacha LORIENT kwa msimu mwingine ili akomae zaidi
Mwisho ningempeleka Ramsey Loan ili akakuze confidence yake iliyopotea na hapo baada ya kumtizama kutoka september mpaka january perfomance yake........
Chamackh,squillaqi,bendtner,fabianski,diaby wote ningewatoa