TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Walimsimamisha Zitto Ubunge wakajua watammaliza na kukimaliza CHADEMA, leo tena wanarudia makosa yale yale. Wanamfungia LEMA wanadhani watammaliza yeye na Chama chake! Ni akili gani watu hawa wanazo? Ni kwa nini hawajifunzi kutokana na historia? Lakini tusiwalaumu ndio mwisho wao wa kufikiri ulipofika.