ni saluni za wapi hizi zinapamba watu hivi jamani?oooh my god urembo ukizidi sana unaharibika
Bibi harusi no mvuto
Bestlady no mvuto
Make up zimezidi...
Huyu aliyewapamba kina sauda mbona kawaharibu vya kutosha..
Ni wakati sasa wa mpambwaji kusema anataka nn:shock:
Smile, kwa nini ungekimbia wakati warembo wamejipamba kwa ajili yako ...invisible weka jukwaa la urembo
nasikia flower girl alikataa kuingia ukumbini kwa kilio alikuwa anadai ni nini hiki?
duh....hivi tunahitaji kuongea na mkuu invii eeeh.....
hatuna jukwaa la urembo hapa.....
ni saluni za wapi hizi zinapamba watu hivi jamani?
na hizo ngozi sasa....khaaaa....
wamezeekajeeeee.......
Preta mie nilishamuomba Invisible jukwaa la urembo na fashions akanichunia
Nadhani lina umuhimu wake
umeona shosti hee eti hao ni wadada wa mjini .je wabush itakuwaje.kuna umuhimu sana wa jukwaa la urembo tunusuru ma bi harusi
naona make up zikizidi tunaonekana wazee ....
invisible weka jukwaa la urembo
mwanamke akiwa hivi hata salamu yake siitaki.