Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
- Thread starter
- #41
majukmu ya kuwanywesha beer na kuchoma nyam, kweli dunia ina majukumu mengi lol, enzi zile mie mr mpaka alikuwa ananiuliza kama nina frnds coz kila tukitoka ni mie na yeye labda na frnds zake, aliwafahamia kwenye shida na raha(msiba/sherehe) cpendi kubebana kabisa mnaonekana kama waswahili wa kushinda vibarazani.
Kama unampango wa Kuachika tuwasiliane!