Muambie anunue raba mtoni kabisa, hapa atakanyagia hadi kisigino kiishe! Afu kuna maziwa ya kutengenezea juisi ya tende? Si unajua kazi yake?
Nshamwambia wifi weee...juice ya tende haiadimiki kwetu usijali kwa hilo.
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums