Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
Mke wake anaitwa Ummy alikuwa akifanyakazi ZANTAS kampuni ya ndege ndogo za kukodisha na kusafirisha watalii uwanja wa ndege Arusha.Bibie Ummy ni chotara wa kiIraq mwanamama mwenye roho nzuri sijui alikutana wapi na jambazi ACP Hemed Msangi.Mwezi May alifanyiwa party ya kuagwa na watumishi wote wa uwanja wa ndege Arusha baada ya kuacha kazi kwa shinikizo la mume wake.