ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
In advance nampa pole mteja atayedanganyika kuwa 25km from ferry iko nje ya kigamboni city project.
M-pesa, najua utauza tu hiyo ardhi kwa sababu matapeli mna njia mbalimbali za kurubuni watu. Mfano mdogo ni jinsi tu ulivyoanzisha thread nyingine chapchap na kuleta mikwara koko kwa kupitia PM. Ninachotaka kuhakikisha ni kwamba hata kama unatapeli lakini sio kwa kutumia JF.
Ahahahahaaah!! JF ina raha yake bana..Haya bwana, endelea na matusi yako! Watu kama ninyi wenye characters za ku attack wenzenu sijui kwa nini mnaendelea kukaa JF.
<br />Mbutu ni miongoni mwa maeneo ambayo yatachukuliwa na serikali kwa ajili ya kigamboni city project. Kabla hujanunua jihakikishie kuwa eneo hilo hutanyang'anywa.
In advance nampa pole mteja atayedanganyika kuwa 25km from ferry iko nje ya kigamboni city project.