MasikaYupi mkweli Masika au Gambler???? :confused2:
??????wanauza 99000 kama 50
Ya ukubwa gani?cdma modem ninauza laki moja, ambayo pale zantel wanauza laki na nusu, mwenye interest ani pm
Ya ukubwa gani?
Teh teh teh teh! Nilimaanisha capacity.Yan Nchi nane!....(jocking!)
Teh teh teh teh! Nilimaanisha capacity.
Nauza yakwangu ya Zain kitu kiko faster ina mb400 za kutumia mwezi mzima. @60000/=.
cdma modem ninauza laki moja, ambayo pale zantel wanauza laki na nusu, mwenye interest ani pm
Acha Ujasiliamali. 50k ni PMImmma, mbona hiyo ndio bei ya kule zain. sema 30k nikuPIM !!
Hapo Mliman City naona kuna promotion. Wapo vijana wengi wamevaa t-shirt za Zantel wanauza Modem. Nilinunua modem pale zantel hivi karibuni shs. laki moja, pale Mlimani city leo nimekuta wanauza Tshs.elf hamsini.