Ninauza kiwanja changu salasala (kinzudi)

Revolution

JF-Expert Member
Feb 28, 2008
789
546
Ndugu wana JF ninauza kiwanja changu maeneo ya salasala kinzudi karibu kabisa na shule ya rightway nursery and primary school, kipo karibu na barabara na kuna majirani wameshamaliza kujenga na wengine kuhamia. Kina ukubwa wa miguu 25 kwa 22 na bei yake ni ml 9 na maongezi yapo. Kwa serious buyers namba yangu ni 0755 55 14 59.

NB: Kwa wanaotaka sitevisit ninakuwa available jumamosi kuanzia saa nane mchana na jumapli kuanzia asubuhi saa moja.

Nawasilisha.
 
Vipi kinajaa maji mvua ikinyesha? Mbona wakiuza yekhe? Nini kimekusibu? Kimepimwa?
 
Ndugu wana JF ninauza kiwanja changu maeneo ya salasala kinzudi karibu kabisa na shule ya rightway nursery and primary school, kipo karibu na barabara na kuna majirani wameshamaliza kujenga na wengine kuhamia. Kina ukubwa wa miguu 25 kwa 22 na bei yake ni ml 9 na maongezi yapo. Kwa serious buyers namba yangu ni 0755 55 14 59.

NB: Kwa wanaotaka sitevisit ninakuwa available jumamosi kuanzia saa nane mchana na jumapli kuanzia asubuhi saa moja.

Nawasilisha.
9m mbona hela ndogo kiwanja kina matatizo gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom