Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
King Katika watu niliokuwa nawaheshimu wewe ni mmoja wapo lakini leo nimekushusha thamani kabisa.
Una hakika kuwa wafanyakazi wa TACAIDS wapo HIV+ (Ninabisha na ninauthibitisho wa hilo ukitaka)
Sidhani kama unajua hata kazi wala majukumu yake. For your infomation TACAIDS hakuna mtu ambaye hajaoa wala kuolewa. Muwe mnazungumza vitu mlivyo na uhakika sio kuropoka hovyo hovyo tu.
Ushauri kwa mdada:
Wengi wamekwambia hapo juu nenda pima magonjwa yote moyo, sukari nk ili ujue uko katika hali gani ikiwamo kuangalia CD4 zako ziko kiasi gani kwa sasa usije kuchelewa ukakuta zimeshuka sana ukapata magonjwa nyemelezi kwa maelezo zaidi NI PM
Huu sasa ndio unaitwa uungwana!Dena Samahani kama nimekukwaza kuhusu TACAIDS,sijakwambia wafanyakazi wote ni HIV+ me nawajua watu pale ni HIV+ na waeoana na mie nimekuja kujua baada ya mke kusema mwenyewe kisa m/me wake kazaa na m/ke mwingine(bi mdogo) sasa bi mdogo alivyokuja juu ndo bi mkubwa akampa makavu live kwamba anagombania nini? Mtu mwenyewe anayemgombania ni +,so ikabidi nikae nae chini yule bi mkubwa wa TACAIDS ndo akaniambia hadi jinsi walivyokutana kwamba kuna program kama mtu ni + unakutanishwa na + mwenzako(kama tu unaitaji),sio wote read btn the lines
Tukirudi kwenye mada:
Mbufya mpendwa,
Katika yote utakayoshauriwa huko kwenye PM kama ulivyosema, Utakapoamua kufikia kufanya maamuzi, ODM mie nakushauri:
1. Shirikisha moyo wako (usije penda pasipopendeka, ni ugonjwa mbaya zaidi)
2. Shirikisha madaktari/washauri nasaha (hawa ni marefarii wa afya yako)
3. Mshirikishe Mwenyezi Mungu (huyu ni muweza wa yote)
Baada ya kusema hayo, napiga magoti kukuombea mafanikio mema. Nami pia napatikana kwenye PM, naweza kukupa ushauri na uzoefu zaidi kama utahitaji.
Karibu.