The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
amuulize kama anapenda vitumbua vya kaloleni
anampelekea na chai ya maziwa ya iliki ataelewa tu
vitumbua vya home ndo vitamu zaidi
apike apeleke lol
amuulize kama anapenda vitumbua vya kaloleni
anampelekea na chai ya maziwa ya iliki ataelewa tu
vitumbua vya home ndo vitamu zaidi
apike apeleke lol
Did the word seduction mean anything to you?Habari ya weekend?
Ni matumaini yangu mmekuwa na wakati mzuri.
Nimetokea kumpenda sana kijana mmoja lakini ninaona vigumu kumwambia. Yeye anazidi kunipa wakati mgumu pale anaponiita dada kila tunapokutana. Juzi alinialika kwenye sherehe ya birthday yake na rafiki zake walijua huenda mie ndio mwandani wake kwani hakuwa na girlfriend yoyote. Nilipojua yuko single nilipata faraja na moyo wa kuamini kwamba huenda one day atakuwa wangu.
Ninaomba msaada wenu wa mawazo kwamba nifanye nini jaman ili awe mikononi mwangu one day? Nimekuwa na mawazo sana kuhusu huyu kijana.
Mawazo yenu yanahitajika sana wakati huu.
Asanteni
Habari ya weekend?
Ni matumaini yangu mmekuwa na wakati mzuri.
Nimetokea kumpenda sana kijana mmoja lakini ninaona vigumu kumwambia. Yeye anazidi kunipa wakati mgumu pale anaponiita dada kila tunapokutana. Juzi alinialika kwenye sherehe ya birthday yake na rafiki zake walijua huenda mie ndio mwandani wake kwani hakuwa na girlfriend yoyote. Nilipojua yuko single nilipata faraja na moyo wa kuamini kwamba huenda one day atakuwa wangu.
Ninaomba msaada wenu wa mawazo kwamba nifanye nini jaman ili awe mikononi mwangu one day? Nimekuwa na mawazo sana kuhusu huyu kijana.
Mawazo yenu yanahitajika sana wakati huu.
Asanteni