Ninapojiuliza kuhusu waafrika na kuumia sana

mambo yaliypandikwa hapo juu yanaukweli waafrika tunauchoyo mkubwa na umimi angalia mifano yawaliyopata fursa ni wao na ndugu zao tuu,usomaji wa vitabu hata kwa wazungu unapungua sana hasa baada ya mitandao kuingia walikuwa wanasoma kwa ajili ya upweke,
wao pia ni wachoyo inawezekanaje mtu akaenda kufanya utalii mwezini wakati wengi wanaishi chini ya dola moja si wazilete afrika kwa wavivu wa kufikiri
waafrika imekuwa nguvu kazi miaka nenda rudi wameepeleka maendeleo kwenye nchi za wazungu hata kama walikuw watumwa

hakuna nchi ya mwaafrika ilinyanq'anywa kama vile,austraria,newzealand canada,america ya kusini na kazikazini, kwa wahindi wekuundi waafrika sio wajinga hivyo kama wanavyosema,hata hapo afrika ya kusini walidhani watabaki wamewachia waafrika
bado kitambo kidogo wataona waafrika wanavyokwenda juu

Ukipima kwenye uchoyo mzungu na muafrika mzungu kamzidi muafrika uchoyo, capitalism yenyewe ambayo ndiyo nguzo ya kuendelea kwa western Europe na Amerika imejengwa katika uchoyo, mzungu ame u study uchoyo na kuufanya sayansi ya kiuchumi, akauita capitalism aka get your own.Sisis kama uchoyo tunafanyiana uchoyo wa kitoto tu, tena tunawaiga wao tu.
 
Hakuna kitu inborn, ni historical na geo-political reasons tu.Ndiyo maana mimi nakataa hii habari ya "Waafrika ndivyo tulivyo"

Wewe uko kwenye denial tu! Endelea kuwa hivyo...

Eti hakuna kitu inborn? Can you bench press 435 Lbs.?
 
Wewe uko kwenye denial tu! Endelea kuwa hivyo...

Eti hakuna kitu inborn? Can you bench press 435 Lbs.?

Simaanishi kwamba nothing is inborn, hapo nitakuwa nabishana na sayansi nzima ya genetics, kwani wazungu kuwa weupe na waafrika kuwa weusi ni nini kama si genetics/ something that we are born with, only somebody who des not know the basics of genetics can dispute kwamba there is nothing inborn.

Ninamaanisha katika context hii ya matatizo ya Africa, kila kitu kinatokana na mazingira, mambo ya historia na geopolitics -kuanzia utumwa, ukoloni, ukoloni mamboleo, umangimeza, utawala mbovu, masoko ya kimataifa kutawaliwa na wazungu, vita baridi etc- ingawa sisemi kwamba waafrika hawana responsibility, lakini wakati mwingine tuangalie hawa kina babau na bibi waliokuwa vijijini ambao wengi wao hata kusoma na kuandika wamejua na elimu ya ngumbaru wangeweza kufanya nini cha maana katika system ambayo iliwaondoa katika traditions zao za kukaa na mchifu ikawapeleka katika a dysfunctional Westminster democracy? Dysfunctional system ambayo imeletwa na the west, ikapandikiza ma dictator kama kina Mobutu na Bokassa na kuwapa silaha na pesa? Hata waliosoma wachache ndio hao wamekuwa recycled katika utawala mapaka kesho, kwa hiyo matatizo kusema ni inborn wakati kumetokea ma paradigm shift hayo niliyoyataja hapo juu haitakuwa fair, inabidi tuangalie mazingira.

Hata ulaya nao walipitia medieval ages huko kwenye dark eras, je na wao walikuwa na matatizo inborn? Mbona wameweza kuyashinda?

Mimi mtu akisema haya matatizo yetu ni inborn nitamuona ni mvivu wa kufikiri, ukisema tuna uvivu unaotokana na mazingira na experiences zetu kidogo naweza kuku entertain kukusikiliza, lakini mambo ya inborn haya mimi siyafagilii, we have got to have a better explanation.

Otherwise the only thing unachoweza kuprove kwa kusema ndivyo tulivyo ni kutuonyesha kwamba ndivyo ulivyo.
 
Mimi mtu akisema haya matatizo yetu ni inborn nitamuona ni mvivu wa kufikiri, ukisema tuna uvivu unaotokana na mazingira na experiences zetu kidogo naweza kuku entertain kukusikiliza, lakini mambo ya inborn haya mimi siyafagilii, we have got to have a better explanation.

Otherwise the only thing unachoweza kuprove kwa kusema ndivyo tulivyo ni kutuonyesha kwamba ndivyo ulivyo.

Hehehehehe...mimi hizi explanation za mazingira sizifagilii hata kidogo kwa sababu leo hii tuki trade places na wazungu Africa itabadilika.

Hata enzi za ukoloni kwa mfano, nyumba zilikuwa zinajengwa kwa mipangilio na mambo mengi (ukiondoa unyanyaswaji) yalikuwa yako kwenye order. Angalia nyumba za Obay kwa mfano. Huko unaweza hata ku deliver mail. Nenda Ubungo kisiwani au Tandika uone kulivyo shagalabaghala.

Mnaofagilia mambo ya mazingira mko kwenye denial tu na mnaya scape goat mazingira na kuogopa kuu face ukweli. Good thing about ukweli ni kuwa ukweli hubakia ukweli tu hata mtu akataeje
 
Hehehehehe...mimi hizi explanation za mazingira sizifagilii hata kidogo kwa sababu leo hii tuki trade places na wazungu Africa itabadilika.

Hata enzi za ukoloni kwa mfano, nyumba zilikuwa zinajengwa kwa mipangilio na mambo mengi (ukiondoa unyanyaswaji) yalikuwa yako kwenye order. Angalia nyumba za Obay kwa mfano. Huko unaweza hata ku deliver mail. Nenda Ubungo kisiwani au Tandika uone kulivyo shagalabaghala.

Mnaofagilia mambo ya mazingira mko kwenye denial tu na mnaya scape goat mazingira na kuogopa kuu face ukweli. Good thing about ukweli ni kuwa ukweli hubakia ukweli tu hata mtu akataeje

Kuna mambo yamechukua millennias kama siyo epochs kuwa yalivyo sasa, ukiwaleta wazzungu Afrika na kuwapeleka Waafrika Ulaya kwa miaka 50 utakuwa bado hujaweza ku replicate conditions vya kutosha ili uweze kufanya a controlled social experiment, if there is such a thing at all.

Kuna effect nyingine za mazingira zina mizizi mirefu kuliko unavyotaka ku admit. Chukua mfano wa hali ya hewa ya Afrika na ulaya na jinsi ilivyofanya waafrika kuwa wajamaa kiasili na wazungu kuwa wa capitalist kwa sababu ya basic needs, unaweza ku replicate katika miaka mingapi?
 
Kuna effect nyingine za mazingira zina mizizi mirefu kuliko unavyotaka ku admit. Chukua mfano wa hali ya hewa ya Afrika na ulaya na jinsi ilivyofanya waafrika kuwa wajamaa kiasili na wazungu kuwa wa capitalist kwa sababu ya basic needs, unaweza ku replicate katika miaka mingapi?

Hivi visingizio vya hali ya hewa havina vichwa wala miguu.
Ooh mara mazingira...ooh mara hali ya hewa. Well najua wengi mko kwenye denial tu lakini deep down ukweli mnaujua
 
Ndivyo tulivyo, lakini wao ndio wametufanya tuwe hivyo kwa ajili ya upumbavu wetu!

Na je vipi kama tukiachana na swala la kuhusu nani ameandika na nani anawasema vipi waafrika na tuangalie uhalisia wa lililoandikwa, je hivi ndivyo waafrika walivyo?
 
Moja ya matatizo makubwa yanayotukabili waafrika ni kukosa self-consciousness na self-respect itakayoweza kutupa uwezo wa kusimama na kuyakabili matatizo yetu, characteristic mojawapo ni hizi generalizations za kukata tamaa along the lines of "Waafrika ndivyo tulivyo".

Sasa hizo ni inborn attributes/traits au ni acquired? Kwa nini "Waafrika" wasiwe nazo na by implication kwa nini let's say wazungu, wanazo?

Nyani Ngabu,
Tumepata maoni ya Bluray. Wewe unaamini nini kuhusu swali ulilouliza?
 
Kuna mambo yamechukua millennias kama siyo epochs kuwa yalivyo sasa, ukiwaleta wazzungu Afrika na kuwapeleka Waafrika Ulaya kwa miaka 50 utakuwa bado hujaweza ku replicate conditions vya kutosha ili uweze kufanya a controlled social experiment, if there is such a thing at all.

Kuna effect nyingine za mazingira zina mizizi mirefu kuliko unavyotaka ku admit. Chukua mfano wa hali ya hewa ya Afrika na ulaya na jinsi ilivyofanya waafrika kuwa wajamaa kiasili na wazungu kuwa wa capitalist kwa sababu ya basic needs, unaweza ku replicate katika miaka mingapi?

Blu-Ray,
There are two things to take into consideration here. First, there is societal evolution. In this one we expect things to take millennia to develop. For example, the civilization in ancient Greek, Rom, or Egypt took more than 1000 years to perfect. However, humanity has passed this phase already.

The second thing is the technological leap. Here, once society acquires certain knowledge that could help to perfect people’s lives and the means to transfer and preserve that knowledge, the society should use it. For examples, in medieval period the northern Europeans didn’t invent anything substantial. Nevertheless, they made a technological leap using what was already known in Mediterranean and the Middle East. In Europe today, they write using Latin or Greek scripts. Therefore we can easily say that Romans and Greeks took more than millennia to perfect the systems of writing. However, once other Europeans knew the importance of writings, they didn’t have to reinvent the wheel. They use what Romans and Greeks had offered to them.

Here Nyani Ngabu might be politically incorrect, but if he had asked us to start from scratch, the environment factors would have played a significant role in this discussion. However, today, the knowledge needed to transform our lives is out there. The means to transfer and preserve this knowledge are in abundance but, we fail to take a technological leap. In fact this doesn’t show anything else rather than lack of efforts to think in our part. How comes a Professor at Ardhi University is the first person to build a very expensive house in a unplanned area?
 
Blu-Ray,
There are two things to take into consideration here. First, there is societal evolution. In this one we expect things to take millennia to develop. For example, the civilization in ancient Greek, Rom, or Egypt took more than 1000 years to perfect. However, humanity has passed this phase already.

The second thing is the technological leap. Here, once society acquires certain knowledge that could help to perfect people’s lives and the means to transfer and preserve that knowledge, the society should use it. For examples, in medieval period the northern Europeans didn’t invent anything substantial. Nevertheless, they made a technological leap using what was already known in Mediterranean and the Middle East. In Europe today, they write using Latin or Greek scripts. Therefore we can easily say that Romans and Greeks took more than millennia to perfect the systems of writing. However, once other Europeans knew the importance of writings, they didn’t have to reinvent the wheel. They use what Romans and Greeks had offered to them.

Here Nyani Ngabu might be politically incorrect, but if he had asked us to start from scratch, the environment factors would have played a significant role in this discussion. However, today, the knowledge needed to transform our lives is out there. The means to transfer and preserve this knowledge are in abundance but, we fail to take a technological leap. In fact this doesn’t show anything else rather than lack of efforts to think in our part. How comes a Professor at Ardhi University is the first person to build a very expensive house in a unplanned area?

Because,

1. There is a systemic failure in our systems.This failure is a prevalent malaise afflicting all the veins and organs of our country.So you may have the professor, in theory one to teach about the disadvantages of unplanned building, finding his own tune hard to dance - mind you, I am not advocating, merely narrating- perhaps due to the bureaucracy, price gauging and corruption involved in getting a planned plot.Some degree of instant gratifications may be present here.

2. Our systems being top down, this systemic failure is mainly failure in leadership.

3.The professor, as an individual either is smart enough to realize the Borg proverb "Resistance is futile" or complacent enough to stay in his comfort zone without shaking things up

The major point I am making here is, with all these pandemic issues, there is nothing inherently wrong with our country and our people.Yes we have major issues with some of our societal values and norms, but these cultures, that of nonchalance in the face of calamitous disturbances, procrastination in the world of split second decisions, not seeing the bigger picture and almost always being criminally myopic et cetera, all these are neither inherent to us nor genetic, why, some Africans in the West provide a very good example of efficiency, initiative and a world caliber industriousness.

So I am not disputing that we have mountains of problems, but I reject that there is some sort of almost biblical if not genetic curse that makes being African synonimous with having these tendencies.These are mopre of environmental factors than inborn ones.
 
So I am not disputing that we have mountains of problems, but I reject that there is some sort of almost biblical if not genetic curse that makes being African synonimous with having these tendencies.These are mopre of environmental factors than inborn ones.

How do you explain the fact that a majority black people throughout the world are always at the low point of the totem pole. Be it in Haiti, Brazil, USA...you name it. Black people always rank low. Explain.
 

Here Nyani Ngabu might be politically incorrect, but if he had asked us to start from scratch, the environment factors would have played a significant role in this discussion. However, today, the knowledge needed to transform our lives is out there. The means to transfer and preserve this knowledge are in abundance but, we fail to take a technological leap. In fact this doesn’t show anything else rather than lack of efforts to think in our part. How comes a Professor at Ardhi University is the first person to build a very expensive house in a unplanned area?
You think so? Kwa yeyote ambaye hajafuatilia changes ambazo zimetokea katika kipindi cha miaka 12 iliyopita hadi sasa, haitamsaidia nikimwambia ajaribu ku-predict 65 years from now.
 
You think so? Kwa yeyote ambaye hajafuatilia changes ambazo zimetokea katika kipindi cha miaka 12 iliyopita hadi sasa, haitamsaidia nikimwambia ajaribu ku-predict 65 years from now.

Changes gani? The increase of mafisadi and ufisadi?
 
You think so? Kwa yeyote ambaye hajafuatilia changes ambazo zimetokea katika kipindi cha miaka 12 iliyopita hadi sasa, haitamsaidia nikimwambia ajaribu ku-predict 65 years from now.

What type of prediction are you talking about? I guess it's not about supersition predication.
 
How do you explain the fact that a majority black people throughout the world are always at the low point of the totem pole. Be it in Haiti, Brazil, USA...you name it. Black people always rank low. Explain.


The question you should be really asking yourself is how did these black people survive at all. Almost all the black people in the diaspora have roots in the despicable slave trade, by which their ancestors were taken from Africa against their will and marginalized institutionally.The US, a so called champion of democracy and human rights, despite having a half-black President (In America he is called black, in Brazil he is considered Mulatto, which is more white than black) does not have a law allowing black people to vote up to this day.These Africans and their descendants have always been a minority that was taken against their will with little to no organization.

The other side of the equation -Africa- felt the pangs of this inhuman trade in humans. Some estimates of the total loss by Africa to the slave trade place the number as high as 200 million.This was a catastrophic blow to the development of Africa not opnly psychologically and militarily, but also economically.However irresponsible and mediore our current leaders are, one cannot discount the fact that the incubator which produced them was surrounded by the spectre of the remnants of this devastation.

At the same time Africa was losing this much, Europe and America was gaining from the fruits of free labor, making the same Africans their market and perpetuating further their oppression.At this time there was no VAT or any other BS that they are imposing on us to deliberately stunt our growth, sheesh, the Pirates of Carribean operated with the British throne's blessing.

Now that they have the upper hand one cannot even open a genge la nyanya without multiple restrictions, taxes and hongo.The point I am making is once the West gained the upper hand, they did not sleep, they were and are continuing to make sure -most recently by using the world market and international financial institutions- that they maintain the upper hand.

So I do realize that we have poor leadership, I do realize that we have a culture of mediocrity.But are these things inherent in us? Are they genetic? Is there a curse against us?

No, the only curse is the one you will place upon yourself by believeing there is one.
 
Because,

1. There is a systemic failure in our systems.This failure is a prevalent malaise afflicting all the veins and organs of our country.So you may have the professor, in theory one to teach about the disadvantages of unplanned building, finding his own tune hard to dance - mind you, I am not advocating, merely narrating- perhaps due to the bureaucracy, price gauging and corruption involved in getting a planned plot.Some degree of instant gratifications may be present here.

2. Our systems being top down, this systemic failure is mainly failure in leadership.

3.The professor, as an individual either is smart enough to realize the Borg proverb "Resistance is futile" or complacent enough to stay in his comfort zone without shaking things up

The major point I am making here is, with all these pandemic issues, there is nothing inherently wrong with our country and our people.Yes we have major issues with some of our societal values and norms, but these cultures, that of nonchalance in the face of calamitous disturbances, procrastination in the world of split second decisions, not seeing the bigger picture and almost always being criminally myopic et cetera, all these are neither inherent to us nor genetic, why, some Africans in the West provide a very good example of efficiency, initiative and a world caliber industriousness.

So I am not disputing that we have mountains of problems, but I reject that there is some sort of almost biblical if not genetic curse that makes being African synonimous with having these tendencies.These are mopre of environmental factors than inborn ones.

Blu-Ray,
The three points you enumerate are professional excuses at best. Yes, our system of government is top-down, but who said that top-down doesn’t work? The communist government of China is top-down. The medieval monarchies in Europe and the Middle East were top-down. Even the best African Kingdoms that we always cherish here were top-down. As a matter of fact top-down is the most efficient mechanism to change the society in a very short period of time.

The only instance where top-down is not very effective is when the leaders don’t know what they were supposed to do due to lack of knowledge and efforts. Here again, if lack of knowledge and efforts is the problem, the outcome would be the same regardless of the system you put in place. We might try bottom-up approach or a combination of both top-down and bottom; however, if we don’t know what we are supposed to achieve, the denouement would be same.

Don’t get me wrong. I am not saying that our failures are engraved on a stone wall, and I have seen many Africans working very successfully in the West. However, their success doesn’t vindicate the ability of other Africans as a whole. They might be extreme exceptional or, the working environments in the West mask their deficiency.
 
They might be extreme exceptional or, the working environments in the West mask their deficiency

Which has been my point all along, our problems are not inherent and genetic as in "Waafrika ndivyo tulivyo", but rather societal and environmental.
 
Back
Top Bottom