Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Mimi nimejiunga hivi karibuni jf.Labd niulize swali.Hivi kutukana kama kuwaita watu majuha,wapumbavu nk ndo kweli hoja zinazohitajika katika forum hii?
Nimegundua kuwa an jf wengi ni wapenzi wa cdm ambacho kinajiita chama cha demokrasia.Nielewavyo mimi Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawzo,sas inakuwje mtu akitoa mawzo badala ya kujibu hoja unatukana?
wewe na wao hakuna tofauti as you have despised them hapo kwenye red. Besides ndiyo siasa hiyo mkuu:teeth: