Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Mara zote kuna malalamiko juu ya muundo wa muungano toka upande mmoja, yaani Zanzibar, lakini kwa waTanganyika, watu wamekaa kimya huku wakinungunika either kimoyomoyo au wakinungunika lakini bila upande wa pili wa muungano kujua, yaani Zanzibar, kwa waTanganyika, wanaona sijui ni aibu kuiongelea kero hiyo au sijui wengi wetu ni wanafiki! Muungano kwa kizazi hiki wengi wetu I mean waTanganyika wanaudoubt ila wanaongelea Kwenye blangeti!
Naomba nivae ujasiri na kusema na sisi waTanganyika tunataka uhuru wetu, kwanza, Taifa letu liliuwawa tofauti na wenzetu ambao Zanzibar yao ipo, Tunaomba turudishiwe taifa letu Tanganyika halafu kama muungano una faida kwetu tufanye makubaliano upya, Naililia Tanganyika yetu.
Kwa waZanzibari, wanaona kamawamemezwa, lakini Zanzibar ipo, je na sisi waTanganyika tusemeje? tuseme hatujamezwa ila tuliuwawa, hebu naomba niwe advocate wa ufufuaji wa Tanganyka. Naomba mniunge mkono katika hili.
Nawasilisha.
Naomba nivae ujasiri na kusema na sisi waTanganyika tunataka uhuru wetu, kwanza, Taifa letu liliuwawa tofauti na wenzetu ambao Zanzibar yao ipo, Tunaomba turudishiwe taifa letu Tanganyika halafu kama muungano una faida kwetu tufanye makubaliano upya, Naililia Tanganyika yetu.
Kwa waZanzibari, wanaona kamawamemezwa, lakini Zanzibar ipo, je na sisi waTanganyika tusemeje? tuseme hatujamezwa ila tuliuwawa, hebu naomba niwe advocate wa ufufuaji wa Tanganyka. Naomba mniunge mkono katika hili.
Nawasilisha.