1.Nasreem(Miss TZ 2008)
2.Richa(Miss 2007)
Ninahitaji contacts zao,ni muhimu kwa mustakhabali wetu(Watanzania).[/QUOTE]
Eleza umuhimu wa contacts za hawa watu kwa Watanzania, vinginevyo ni Muhimu kwako tu........inawezekana unataka kuoa....!!!!!!!!!
Any way unaweza kuwasiliana na Bw. Hashim Lundenga, bila shaka atakuwa na contacts zao
Kama hujui mahala pa kumpata jaribu pale Sinza nyuma ya Mapambano primary school kuna nyumba moja imetazamana na Pataya guest house. Hapo ndiyo small house yake.
Kama ni kwa ajili ya mambo yale pale sikushauri.......kuna mashori wakali achana na makombo ya Anko Lunde.1.Nasreem(Miss TZ 2008)
2.Richa(Miss 2007)
Ninahitaji contacts zao,ni muhimu kwa mustakhabali wetu(Watanzania).