Ninampenda kweli huyu mwanaume

Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli

kWANINI UNA WASIX2 AKIMEGA ATASEPA, MENYU HAIJAKAA SAWA?
 
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli

...tatizo lipo kwenye 'wekundu' hapo...

kuna uwezekano mkubwa ex-wako alikujengea usukule kwamba una udhaifu kwenye tendo la ndoa, kiasi kwamba
sum'whr kwenye akili yako nawe umeyahifadhi maneno yake 'bila kujijua'...

Kumradhi iwapo nimekutafsiri siyo, kama tatizo ni hilo...nitakusaidia mbinu mpya.
 
Nashukuru sana kaka ulivoniandikia hapa
Huwa namuomba sana mungu kama inawezekana anionyeshe keshoitakuwaje
Just imagine unasalitiwa na mpenzi wako uliekuwa unampendakuliko hata wewe mwenyewe na kumuaminina rafiki yako mpenzi uliekuwa unamuamini
Huu unafiki nilioushuhudia kwa hawa watuwawili kiukweli umeujeruhi sana moyowangu.yaani nashindwa kumuamini mtu yeyote sometimes huwa najihisi nina mkosiduniani humu.why m,e


huyu wa sasa unaishi nae, yuko mbali? au mko eneo moja lakni kila mtu anaishi kwake?..nijibu ili nikusaidie.. maana kuna jambo moja linaitwa cyber marriage siku ni kilio kwa watu walioko kwenye mahusiano..lengo ni kwamba yaliyokutokea yasijirudie
 
...tatizo lipo kwenye 'wekundu' hapo...

kuna uwezekano mkubwa ex-wako alikujengea usukule kwamba una udhaifu kwenye tendo la ndoa, kiasi kwamba
sum'whr kwenye akili yako nawe umeyahifadhi maneno yake 'bila kujijua'...

Kumradhi iwapo nimekutafsiri siyo, kama tatizo ni hilo...nitakusaidia mbinu mpya.
nice to see u mbu wangu
hakuniacha hata kwa sababu ya udhaifu kwenye tendo la ndoa kaka? mimi ni kijana bado mbona shule za tendo la ndoa zipo kila mahali siku hizi siwezi kuogopa hilo naweza kuwa mjuzi kuliko hata mwalimu
aliniacha tu kama mlivo tu wanaume si unajua waongo/wanafiki kila kitu .kwa nini lakini?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
huyu wa sasa unaishi nae, yuko mbali? au mko eneo moja lakni kila mtu anaishi kwake?..nijibu ili nikusaidie.. maana kuna jambo moja linaitwa cyber marriage siku ni kilio kwa watu walioko kwenye mahusiano..lengo ni kwamba yaliyokutokea yasijirudie
tunaishi mkoa mmoja ila kila mtu yupo kwake.huwa naenda /anakuja home.tunatoka out pamoja ,nilishawai kulala kwake lakini siku hayupo tulibaki na mlizi kama wiki mbili alisafiri.alivorudi nikarudi hme maana alikataa nisilale kama sitaki kulala chumbani kwake
 
Wanawake mnamatatizo kweli.

Hivi hamjui kufanya sex kabla ya ndoa pia ni kitu kizuri kwako kumjua inadvance kwamba jamaa anaweza au hawezi?

What if baada ya ndoa ndo ukaja ukagundua jamaa hasimamishi?
 
nice to see u mbu wangu
hakuniacha hata kwa sababu ya udhaifu kwenye tendo la ndoa kaka? mimi ni kijana bado mbona shule za tendo la ndoa zipo kila mahali siku hizi siwezi kuogopa hilo naweza kuwa mjuzi kuliko hata mwalimu
aliniacha tu kama mlivo tu wanaume si unajua waongo/wanafiki kila kitu .kwa nini lakini?

...oky, sasa nimekupata....wadhani akishapata ile kitu roho inapenda atasepa...!?

Ila hapo kwenye uwongo wa wanaume mnh, nadhani twaweza fungulia mjadala huu siku
nyingine, ...kwa mtazamo wangu miaka ya sasa ni kula n'kule....si wa'wake si wa'ume
sote twadanganyana kufanikisha/kupata kile 'roho' yataka...

Mapenzi yamekuwa diluted kabisaaa...ukibahatika kumpata anayekupenda KIUKWELI, ujue thamani
ya penzi lake kwako nawe jithaminishe naye ajithamini hajawekeza penzi palipo chachu na chungu.

Love is a lesson, ukiachana na mtu usihuzunike sana ....jifariji kwa somo la mapenzi alilokupatia, na
ukumbuke amekimbia sababu thamani yako ni zaidi ya uwezo wake wa kukupenda...
usijishushe thamani yako kumpendezesha mtu akupende atakavyo.

Mapenzi ni kupendana.
 
...oky, sasa nimekupata....wadhani akishapata ile kitu roho inapenda atasepa...!?

Ila hapo kwenye uwongo wa wanaume mnh, nadhani twaweza fungulia mjadala huu siku
nyingine, ...kwa mtazamo wangu miaka ya sasa ni kula n'kule....si wa'wake si wa'ume
sote twadanganyana kufanikisha/kupata kile 'roho' yataka...

Mapenzi yamekuwa diluted kabisaaa...ukibahatika kumpata anayekupenda KIUKWELI, ujue thamani
ya penzi lake kwako nawe jithaminishe naye ajithamini hajawekeza penzi palipo chachu na chungu.

Love is a lesson, ukiachana na mtu usihuzunike sana ....jifariji kwa somo la mapenzi alilokupatia, na
ukumbuke amekimbia sababu thamani yako ni zaidi ya uwezo wake wa kukupenda...
usijishushe thamani yako kumpendezesha mtu akupende atakavyo.

Mapenzi ni kupendana.
hebu niambie ukweli mbu nifanyeje? nimkubalie anavotaka ili safari iendelee?
 
hebu niambie ukweli mbu nifanyeje? nimkubalie anavotaka ili safari iendelee?

Anataka nini?

yaani yeye bila 'kumkubalia' anachotaka safari ina hati hati?
basi hakupendei mapenzi huyo...au nakusoma sivyo?
 
Anataka nini?

yaani yeye bila 'kumkubalia' anachotaka safari ina hati hati?
basi hakupendei mapenzi huyo...au nakusoma sivyo?
ndo ivo mbu.eti namtega tu.yeye anadai hawezi vumilia
 
Pole sana dada yangu. Najua kweli unaumia na unataka ushauri mzuri. Kumpata mtu anayekupenda ni suala la bahati sana, Unapaswa kusali sana kwa dini yako Mungu akupe mwanaume wa kweli akupendaye na utakayempenda. Lakini kumbuka pia kuwa sex ni muhimu sana kwa human being, hata kama hutaifanya leo, kesho utaihitaji unless unamapungufu ya hisia. Na wanaume wengine humpenda mwanamke anapofanya naye sex japo wengine ni kinyume chake. Sasa hatari ni kwamba ukimbania sana atakata tamaa. Ikumbukwe kuwa sex inakuweka karibu zaidi na mwenzi wako na mkishafanya ndio mnaitana wapenzi. Kabla ya kufanya sex mnakuwa sio wapenzi ila ni marafiki tu. Mapenzi ni kamari kwa wakati mwingine, unaweza kupata au kukosa kama ilivyokutokea. Lakini naungana na Rose1980 kwamba usimhukumu mtu kwa makosa ya mwingine. Kila mtu ana tabia zake, mazuri yake na mabaya yake. Tuko tofauti! Tafakari na Mungu atakusaidia.
 
Pole sana dada yangu. Najua kweli unaumia na unataka ushauri mzuri. Kumpata mtu anayekupenda ni suala la bahati sana, Unapaswa kusali sana kwa dini yako Mungu akupe mwanaume wa kweli akupendaye na utakayempenda. Lakini kumbuka pia kuwa sex ni muhimu sana kwa human being, hata kama hutaifanya leo, kesho utaihitaji unless unamapungufu ya hisia. Na wanaume wengine humpenda mwanamke anapofanya naye sex japo wengine ni kinyume chake. Sasa hatari ni kwamba ukimbania sana atakata tamaa. Ikumbukwe kuwa sex inakuweka karibu zaidi na mwenzi wako na mkishafanya ndio mnaitana wapenzi. Kabla ya kufanya sex mnakuwa sio wapenzi ila ni marafiki tu. Mapenzi ni kamari kwa wakati mwingine, unaweza kupata au kukosa kama ilivyokutokea. Lakini naungana na Rose1980 kwamba usimhukumu mtu kwa makosa ya mwingine. Kila mtu ana tabia zake, mazuri yake na mabaya yake. Tuko tofauti! Tafakari na Mungu atakusaidia.
nashukuru kwa ushauru rafiki. too painfull lakini
 
hi sredi inakimbia balaa!! nimeshindwa kusoma zote.
sawli langu ni je kwani huyo wazamani ulimpa?
 
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli

the next best thing that men look for after your physical appearance, moral behavior, glamor, is...





The quality of your womanhood, I mean your vagina. He asks himself, will i live with this... For better for worse, happiness and sickness until death do us part? If the answer is YES! Then the man is YOURS no matter what. I mean no matter what. So think about that ladies
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom