Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Hello Konnie,mambo sweetie?hello old wine!
Hello Konnie,mambo sweetie?hello old wine!
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli
kaa mbali kabisa na Konnie wangu...w.end hii ni zamu yetu kuvinjari!Hello Konnie,mambo sweetie?
Nashukuru sana kaka ulivoniandikia hapa
Huwa namuomba sana mungu kama inawezekana anionyeshe keshoitakuwaje
Just imagine unasalitiwa na mpenzi wako uliekuwa unampendakuliko hata wewe mwenyewe na kumuaminina rafiki yako mpenzi uliekuwa unamuamini
Huu unafiki nilioushuhudia kwa hawa watuwawili kiukweli umeujeruhi sana moyowangu.yaani nashindwa kumuamini mtu yeyote sometimes huwa najihisi nina mkosiduniani humu.why m,e
nice to see u mbu wangu...tatizo lipo kwenye 'wekundu' hapo...
kuna uwezekano mkubwa ex-wako alikujengea usukule kwamba una udhaifu kwenye tendo la ndoa, kiasi kwamba
sum'whr kwenye akili yako nawe umeyahifadhi maneno yake 'bila kujijua'...
Kumradhi iwapo nimekutafsiri siyo, kama tatizo ni hilo...nitakusaidia mbinu mpya.
tunaishi mkoa mmoja ila kila mtu yupo kwake.huwa naenda /anakuja home.tunatoka out pamoja ,nilishawai kulala kwake lakini siku hayupo tulibaki na mlizi kama wiki mbili alisafiri.alivorudi nikarudi hme maana alikataa nisilale kama sitaki kulala chumbani kwakehuyu wa sasa unaishi nae, yuko mbali? au mko eneo moja lakni kila mtu anaishi kwake?..nijibu ili nikusaidie.. maana kuna jambo moja linaitwa cyber marriage siku ni kilio kwa watu walioko kwenye mahusiano..lengo ni kwamba yaliyokutokea yasijirudie
nice to see u mbu wangu
hakuniacha hata kwa sababu ya udhaifu kwenye tendo la ndoa kaka? mimi ni kijana bado mbona shule za tendo la ndoa zipo kila mahali siku hizi siwezi kuogopa hilo naweza kuwa mjuzi kuliko hata mwalimu
aliniacha tu kama mlivo tu wanaume si unajua waongo/wanafiki kila kitu .kwa nini lakini?
hebu niambie ukweli mbu nifanyeje? nimkubalie anavotaka ili safari iendelee?...oky, sasa nimekupata....wadhani akishapata ile kitu roho inapenda atasepa...!?
Ila hapo kwenye uwongo wa wanaume mnh, nadhani twaweza fungulia mjadala huu siku
nyingine, ...kwa mtazamo wangu miaka ya sasa ni kula n'kule....si wa'wake si wa'ume
sote twadanganyana kufanikisha/kupata kile 'roho' yataka...
Mapenzi yamekuwa diluted kabisaaa...ukibahatika kumpata anayekupenda KIUKWELI, ujue thamani
ya penzi lake kwako nawe jithaminishe naye ajithamini hajawekeza penzi palipo chachu na chungu.
Love is a lesson, ukiachana na mtu usihuzunike sana ....jifariji kwa somo la mapenzi alilokupatia, na
ukumbuke amekimbia sababu thamani yako ni zaidi ya uwezo wake wa kukupenda...
usijishushe thamani yako kumpendezesha mtu akupende atakavyo.
Mapenzi ni kupendana.
hebu niambie ukweli mbu nifanyeje? nimkubalie anavotaka ili safari iendelee?
nashukuru kwa ushauru rafiki. too painfull lakiniPole sana dada yangu. Najua kweli unaumia na unataka ushauri mzuri. Kumpata mtu anayekupenda ni suala la bahati sana, Unapaswa kusali sana kwa dini yako Mungu akupe mwanaume wa kweli akupendaye na utakayempenda. Lakini kumbuka pia kuwa sex ni muhimu sana kwa human being, hata kama hutaifanya leo, kesho utaihitaji unless unamapungufu ya hisia. Na wanaume wengine humpenda mwanamke anapofanya naye sex japo wengine ni kinyume chake. Sasa hatari ni kwamba ukimbania sana atakata tamaa. Ikumbukwe kuwa sex inakuweka karibu zaidi na mwenzi wako na mkishafanya ndio mnaitana wapenzi. Kabla ya kufanya sex mnakuwa sio wapenzi ila ni marafiki tu. Mapenzi ni kamari kwa wakati mwingine, unaweza kupata au kukosa kama ilivyokutokea. Lakini naungana na Rose1980 kwamba usimhukumu mtu kwa makosa ya mwingine. Kila mtu ana tabia zake, mazuri yake na mabaya yake. Tuko tofauti! Tafakari na Mungu atakusaidia.
uzuri kitu yangu inalipa
Naitaji ushauri wa dhati kutoka kwenu wadau
Nilikuwa na mpenzi niliekuwa nampenda sana sana lakini mwisho wa siku aliniacha na kufunga ndoa narafiki yangu kipenzi.
From there sijawai kuwa kwenye relationship seriously maana sijawai kumpenda mwanaume yeyote tena since then
Miaka imeenda (shukranikwa jamii forums na wadai wake ) nimeweza kusahau ile hali kidogo na kuanza maisha upya.
Nikaamua kuingia kwenye mahusiano ,sijui tatizo ni mimi Kuna mwanaume kweli ninampenda lakini tunashindwakwenda mbele zaidi maana kiukweli simuamini .sijawahi kumuhisi kitu basi tu sijiamini na mahusiano nae
Hatujawai kusex nahisi anaweza tukisex anaweza kuniacha tena jamani sijui nifanyeje nahisikumpoteza
Kwani jamani kusex ni lazima jamani? I wish angenielewa imani yangu ila nampenda kweli kweli