Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
Dah!! Rutashubanyuma mambo magumu haya
Kwa hiyo the Finest uko tayari kuteswa na mtu ambaye hata moyo wake unajua haukuhitaji?
Dah!! Rutashubanyuma mambo magumu haya
AshaDii majibu ni yaleyale..................kama huwezi kumpata huyo ana wenyewe kwa hiyo siwezi kumpenda...................loving someone ought to have practical application...........................hakuna wakati wa romantic delusions....................au itakuwa ninapotea muda bure...............and time is cash
Hongera saana..... You seem to be SO Lucky that you brain chooses of whom your heart should fall for....
Mtoa thread nakuliza swali moja tu.
Je kama unapenda wanawake 10 na wote 10 wanakupenda utafanya vipi.
Mana wewe unasema unawapenda wanao kupenda, sasa utafanya vipi, mana kupenda wanawake 10 sio mchezo.
mtoa thread nakuliza swali moja tu.
Je kama unapenda wanawake 10 na wote 10 wanakupenda utafanya vipi.
Mana wewe unasema unawapenda wanao kupenda, sasa utafanya vipi, mana kupenda wanawake 10 sio mchezo.
Nimeipenda hii na hasa ukiwa na hii mihela ya kifisadi i.e ukiwa mfanyakazi wa halmashauri ya Kishapu.
Chezea mapenzi ww, moyo ukifunguka utaona 2, hupendi ww, moyo ndo unaopenda.
ahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaaaa_adopt my love style...you will enjoy.....wewe tamani tu wala ucpende.
ahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaaaa_a dopt my love style...you will enjoy.....wewe tamani tu wala ucpende.
pick only one not otherwise
Dont try this style. utakufa na ngoma mkuu/dada
Mkuu_siku hizi kama unataka penzi la kweli ni lazima ugharamie.
labda kakata tamaa na maisha........
plz verify you above statement(refer red text), how?
humeona ee
Dont try this style. utakufa na ngoma mkuu/dada
labda kakata tamaa na maisha........
bulldozer......................tumuweke kwenye maombi.............