ni mpenzi sio tunamalengo makubwa sana! ila nimeuliza kwa wale wenye experience ya kukaa na wapenzi wao mbali kama hauna experience hauwezi nishauri!
Acha kujilegeza wewe, miezi mitatu tu unaanza kulalama, wengine hapa tuna miezi 6 hatujawaona wapenzi na bado itatuchukua kama mwaka hivi kuwaona na bado tunajipa moyo wa kusonga mbele, Jikaze kiume
NI mume/mke au hawara yako?
Acha kujilegeza wewe, miezi mitatu tu unaanza kulalama, wengine hapa tuna miezi 6 hatujawaona wapenzi na bado itatuchukua kama mwaka hivi kuwaona na bado tunajipa moyo wa kusonga mbele, Jikaze kiume
kuwa busy na kazi zako,mawasiliano kila mara bila kusahau uvumilivu ndo nguzo ya uhusiano wenu.habarini wana jf,mwenzenu ninammisi sana mpenzi wangu kwasababu yuko mbali, naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa kukaa mbali na wapenzi wao hadi wakazoea nifanyaje,ili niweze kuzoea hii hali?naombeni ushauri wakuu!