Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
- Thread starter
- #21
Wewe kazana tu!Sweetlady wangu samahani sikutokea bi mkubwa aliniambia nisirudi nyumbani bila kumaliza kuuza zile karanga ila leo nitamtoroka nije
Wewe kazana tu!Sweetlady wangu samahani sikutokea bi mkubwa aliniambia nisirudi nyumbani bila kumaliza kuuza zile karanga ila leo nitamtoroka nije
Yaani wewe kama dume nakufahamu tuso whaaaaaaaaaaaaaaattt?????????
- Wengine mademu wanajifanya majibaba!
- Wengine majibaba wanajifanya mademu!
- Wengine maroboti wanajifanya binadaamu!
- ...............................................................
- ..............................................................
Ba martha=Bi marthaNahisi we uko kundi hili.....:shock:
Unajifanya umesahau eeee?powa,umenifanya nimepigwa bun bila sababu
Akazane kufanya nini?Wewe kazana tu!
Wewe huoni?Akazane kufanya nini?
Umeona hayo mambo? mmeanza! Sasa nasema Lizz =dazipozi kitambuzi kinasema!Mi sijakufanya upigwe ban, sema wewe ndie uliyefanya ukapigwa ban. Nwy pole kwa kupewa ban.
Umeona hayo mambo? mmeanza! Sasa nasema Lizz =dazipozi kitambuzi kinasema!
Unaniheppisha! sasa inabidi kila mtu kwenye ID yake iwekewe seksiNgwanablah blah = pumba express.
Unaniheppisha! sasa inabidi kila mtu kwenye ID yake iwekewe seksi
Namaanisha.................!!!!!! au me.Lugha yenu mi siijui....
Unaumwa N,nyaa ww?Umeona hayo mambo? mmeanza! Sasa nasema Lizz =dazipozi kitambuzi kinasema!
- Wengine mademu wanajifanya majibaba!
- Wengine majibaba wanajifanya mademu!
- Wengine maroboti wanajifanya binadaamu!
- ...............................................................
- ..............................................................
Caroline Danzi nimekuelewa mwaya!Kazi huna, waliotengeneza hicho king'amuzi ni wajinga sana. Wambie watengeneze cha kutambua wanaosabisha ajali barabarani.
uzuri kwangu kinasoma
eti mie mchicha
sijui maana yake nini
Lol, bimkubwa ana mkwara...haya nimekusamehe mwaya!
Bora umemtonya!!Kitakuwa kimefananisha na zile kongosho wanazokula wachina