Ninahitaji nyumba ya kupanga mitaa ya MIKOCHENI,KINONDONI,KIJITONYAMA au hata SINZA.
Nahitaji chumba kimoja au viwili vya kulala self contained,jiko na sitting room.kama itakuwa na sehemu ya kupaki gari moja ndogo itakuwa safi sana.
Bajeti yangu ni kuanzia TSHS 200000 mpaka 300000.
Unaweza kuni private msg if you have this.
thanks.
Nahitaji chumba kimoja au viwili vya kulala self contained,jiko na sitting room.kama itakuwa na sehemu ya kupaki gari moja ndogo itakuwa safi sana.
Bajeti yangu ni kuanzia TSHS 200000 mpaka 300000.
Unaweza kuni private msg if you have this.
thanks.