Siku Invisible atakapoanza kula sahani moja na mafisadi ndio tutakapokoma!GOV au FBI kama wapo seriuous wanaweza Ibana ISP wa JF kurelease info za JF. au Wanaweza kuwasiliana na JF ADMIN kurelease hizo details za who is who
Siku Invisible atakapoanza kula sahani moja na mafisadi ndio tutakapokoma!GOV au FBI kama wapo seriuous wanaweza Ibana ISP wa JF kurelease info za JF. au Wanaweza kuwasiliana na JF ADMIN kurelease hizo details za who is who
Kifupi ni kuwa kuna mtu tokea kwenye IP yako alifanya upuuzi wa hali ya juu akitaka ku-run scripts unsafe kuja JF. Nia yake haikuwa nzuri na nilitoa server ban kwenye IP zote alizotumia.