Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
hayo ndio maneno.ngoja na wewe nikuandalie plain cheque niandike jinala lako tu alafu utaniambia niandike kiasi gani kitakacho kutosha
hayo ndiyo maneno we piga mahesabu mwenyewe,
castle lite 10
mguu wa nyuma wa mbizi
ndizi 4
bila kusahau ulimi wa kuanzia mda nasubiria mbuzi ichomwe na zingine nimetoa offa kwako wewe mweka hazina