Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Jamani!...jamani!.,jamai!
Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama yangu Mammdenyi ntaomba ulizie hili haraka kabla hujanipoteza mwanao handsome boy,mwenye fedha mpaka naumwa.shemeji yangu Kijino itabidi ubariki hili kwakua unafahamu sababu zote,bestman Mu-sir itabidi ile shopingi tuliofanya kwaajili ya harusi tuanze kwenda kunywea bia mara tu ya ridha kutoka kwa mama yangu.pia junior .Cux unaombwa ukae tayari tayar kuanza kurudisha michango yote kwa wanakamati wangu wote,kwani baada ya ridha hakuna ndoa tena.wale mashankupe jiandaeni kushangiria nafas zenu kuwa nyeupe.NIMETAFAKARI SANA NIMEGUNDUA TATIZO NI HUU UHUSIANO,NIMEAMUA KUACHIA NGAZI,mama nakusubir mwanao utoe ridha
Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama yangu Mammdenyi ntaomba ulizie hili haraka kabla hujanipoteza mwanao handsome boy,mwenye fedha mpaka naumwa.shemeji yangu Kijino itabidi ubariki hili kwakua unafahamu sababu zote,bestman Mu-sir itabidi ile shopingi tuliofanya kwaajili ya harusi tuanze kwenda kunywea bia mara tu ya ridha kutoka kwa mama yangu.pia junior .Cux unaombwa ukae tayari tayar kuanza kurudisha michango yote kwa wanakamati wangu wote,kwani baada ya ridha hakuna ndoa tena.wale mashankupe jiandaeni kushangiria nafas zenu kuwa nyeupe.NIMETAFAKARI SANA NIMEGUNDUA TATIZO NI HUU UHUSIANO,NIMEAMUA KUACHIA NGAZI,mama nakusubir mwanao utoe ridha
Last edited by a moderator: