figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Unajua tunaposema CCM haifai wakati wa kampeni unakuta watu wanapinga, tukisema Rais kikwete hafai watu wanapinga, tukisema mawizi wa Kikwete hawafai watu wanapinga.
Sasa hivi napumuzika kupiga kelele nawaacha muyaone wenyewe halafu 2015 ntawauliza tuendelee ama tusiendelee??.huu mwaka tu kuisha magamba wote watakua wamenyosha mikono. Kusoma hamjui hata picha hamuoni?
Na bado haya ni manyunyu. mia
Sasa hivi napumuzika kupiga kelele nawaacha muyaone wenyewe halafu 2015 ntawauliza tuendelee ama tusiendelee??.huu mwaka tu kuisha magamba wote watakua wamenyosha mikono. Kusoma hamjui hata picha hamuoni?
Na bado haya ni manyunyu. mia