Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilicho mfanya shemeji akimbie ni nini?
pole sana kwa yaliyokukuta,ila kwa kutapeliwa kwako na wazaire nimecheka sana. Nawapenda sana matapeli. Nalog off
nashukuru umeamua ku-editi mapema.
au nenda barclays bank hawa jamaa wananunua mikopo ya benk zingine halafu wewe unawalipa hiyo hela pamoja na top up waliokupa..
Ndugu ushauri wako sio mbaya lakini mimi tawalipa na nini? Pesa sina nimebakiza Costa nao ipo gerage natafuta mteja niiuze hata milioni 12 nianze biashara za madini
Mbona haupo makini. Umesema unadaiwa na benki nne @mil 20. Hiyo hesabu ya mil 80,000/= umeipataje?
Naomba unieleweshe kabla ya kukupa ushauri.
Kama nyumba yako haina ceiling board, si umalizane tu na shingo **** mkuu. Chukua ujasiri wa mkwawa uondokane na hayo madhila ya dunia
Wana JF...
Nifanyaje niokoeni jamani
napita njia.
mkuu nataka nikushauri!cool down usi panic!mdaiwa huwa hafungwi!Coaster ni ya mwaka gani?ilikua inafanya kazi gani?eg daladala,dar moro etc.
Dhamana yako ilikua ni kitu gani wakati unachukua hiyo mikopo?waachie benk watauza wata recover cost yao!
Coaster unauza unaanza upya maisha!pole mkuu!
Ndugu ushauri wako sio mbaya lakini mimi tawalipa na nini? Pesa sina nimebakiza Costa nao ipo gerage natafuta mteja niiuze hata milioni 12 nianze biashara za madini
Pole sana na yafaa hili likikutoka ujifunzd na usirudie tena unachukua mkopo bila kufanya wide research kitu utakachofanyia au ulifuata mkumbo?ilobaki uza dhamana ulizowekea benki lipa madeni ujipange upya kwani kuna kupanda na kushuka na ukijipanga fresh utatoka tu
Mh madini?
Kweli?
Hapa pagum