Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Nov 3, 2011 #21 Nachukizwa na tabia ya Watz tulio wengi kuchangia mada bila kuelewa!
CtVKiLaZA JF-Expert Member Sep 13, 2011 301 37 Nov 4, 2011 #22 Nikachukizwa kuogeza bei ya mafuta ya taa kuzuia uchakachuaji.
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Nov 4, 2011 #23 Nachukizwa sana tunapoambiwa tukubali ushoga ili tupate msaada
jouneGwalu JF-Expert Member Apr 11, 2011 2,687 1,780 Nov 4, 2011 #24 Nachukizwa na Radio/Tvs Stations zetu kupiga ma nyimbo hayo hayo kila siku...!