Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Naomba nitofautiane na wewe kidogo
Kumbuka kila kitu kina wakati wake
na mabadiriko ya sasa yaliyopo hata kama angelikuwa ni nani asingeweza kuyazuia
ni sawa sawa na maandamano yanavyotokea huko Kaskazini hayo hayana mkono wa mtu wala nini bali ni hali halisi ya wananchi wamechoka na kusema basi inatosha.
Hivi sisi tuna uhuru wa kuongea lakini viongozi wetu hawasikii wala hawafati tunachoongea ni kama mavuvuzela tu vile
N awale wasiokuwa na Uhuru wa kuongea lakini wanatimiziwa mahitaji yao yote ya mhimu
J eni yupi bora?
Sisis ni kweli tunaongea sana, lakini ukweli ni kwambba kila kitu ni kibaya zaidi, kila kitu ni siasa tu hakuna vitendo kabisa.
shule ndio hizo za kata za kufelisha asilimia 85, Hospitali si unaziona mwenyewe kama za mwananyamala zilizo jijini zinafanya yale madundu je zile za kule vijijini? najua unalo jibu.
Kumbuka kila kitu kina wakati wake
na mabadiriko ya sasa yaliyopo hata kama angelikuwa ni nani asingeweza kuyazuia
ni sawa sawa na maandamano yanavyotokea huko Kaskazini hayo hayana mkono wa mtu wala nini bali ni hali halisi ya wananchi wamechoka na kusema basi inatosha.
Hivi sisi tuna uhuru wa kuongea lakini viongozi wetu hawasikii wala hawafati tunachoongea ni kama mavuvuzela tu vile
N awale wasiokuwa na Uhuru wa kuongea lakini wanatimiziwa mahitaji yao yote ya mhimu
J eni yupi bora?
Sisis ni kweli tunaongea sana, lakini ukweli ni kwambba kila kitu ni kibaya zaidi, kila kitu ni siasa tu hakuna vitendo kabisa.
shule ndio hizo za kata za kufelisha asilimia 85, Hospitali si unaziona mwenyewe kama za mwananyamala zilizo jijini zinafanya yale madundu je zile za kule vijijini? najua unalo jibu.
JK hajawahi kuwahadaa ama kuwasuta watu wa media kama Mkapa, ameruhusu mno uhuru wa media nasi kujadili ndani-nje bila vikwazo juu ya utawala wake.
Hii JF yetu enzi za mzee Ben...ingalishafungwa kitambo na kusahaulika.