Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.
Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)
Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)