Ninachompendea Kikwete Jakaya Khalfani ni hiki...

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.

Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)
 
Uhuru gani wa kuzungumza na huku anatuua na njaa; mwenye njaa hawezi kuzungumza maneno ya maana!!
 
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.

Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)

JK hajawahi kuwahadaa ama kuwasuta watu wa media kama Mkapa, ameruhusu mno uhuru wa media nasi kujadili ndani-nje bila vikwazo juu ya utawala wake.

Hii JF yetu enzi za mzee Ben...ingalishafungwa kitambo na kusahaulika.
 
naye pia ametoa uhuru wa kuongea na kusema yote....ila ttz lake watu wamesema hataki kusikia wala hataki kufanyia kazi....yalisemwa...
nami nackitika kura yangu nilimpa Dr Slaa..ingawa hazikutosha...
 
....na ndio maana imekuwa simple sana kuona uozo wake kuliko hata rais yeyote.
 
Huyo JK wako naye hatumtaki hebu ona ma noti bandia yalivyozagaa watu wanakamatwa hovyo na kupelekwa polisi eti kisa noti fake lkn mtu hapo katoka kutoa pesa kwenye ATM tena ya EXIM BANK halafu akarudi pale EXIM eti wanakataa hawana hizo pesa EXIMMMMMMMMMMMM mnachakachuliwa na noti bandia eti wanamwambia akumbuke alikozitoa (over my foot) damn hizi bank zetu customer care zao ni zero kabisaaaaaa.

Sasa haya yote yamekuja sababu ya usimamizi wa huju JUMa Kilaza(JK) hakuna anachofanya mpaka tunaletewa mijinoti fake na BOT halafu wanayanadiiii bila hata aibu ptuuuuuuu.
 
Tatizo kubwa la JK ni timu yake..ina udhaifu karibu kila kona..pia hatujui timu yake anayoiamini yeye inatupeleka wapi..!?

Kwa mtazamo wangu ameshindwa kabisa kupata timu kamili ya wachapakazi wanaolijua hilo na ndio maana utaona utendaji wa serikali yake umejaa dharura nyingi.

Mambo yanaendeshwa kwa dharura.

Ndio maana wananchi wengi wamepoteza mapenzi, imani na matumaini kwa serikali yake.
 
Ah wapi! Kikwete hakuwa na utashi, mabavu au ujasiri wa kufanya kitu chochote. Yeye mpaka sasa hivi hana habari kinachoendelea au kazi ya rais ni nini. Jamani kutofanya kitu si sawa na kufanya kitu. What do I mean? He didn't do sh*t about freedom of expression, ndo maana kila mtu anafanya anachotaka. Sasa humuhumu kuna religious incitement lakini wahusika hawachukuliwi hatua, hiyo ni freedom of expression?
Mfano mwingine ni hali ya uchumi, aliendelea tuuuu na sera zile zile za Mkapa hakuna alichokibuni au kuongeza, sasa unaona mipango imekamilika, mikataba ime-expire, mikakati imepitwa na wakati na hana jipya. Hebu nipeni mfano wa uwekezaji wowote wa maana uliofanyika ndani ya miaka hii 5 -6 ya JK? Kama si vituo vya mafuta vya kizushi kuongeza kwa wingi!
Let us not confuse inaction with action!
 
JK hajawahi kuwahadaa ama kuwasuta watu wa media kama Mkapa, ameruhusu mno uhuru wa media nasi kujadili ndani-nje bila vikwazo juu ya utawala wake.

Hii JF yetu enzi za mzee Ben...ingalishafungwa kitambo na kusahaulika.

Uhuru wa media hautolewi na presidential decree, unatolewa na katiba ya nchi na sheria za nchi. Media hazijaanzishwa kutokana na hisani ya rais. Hata hivyo uhuru wa habari umekuwepo toka aondoke Nyerere, wakati wa Mzee Mwinyi kulikuwa na uhuru kupiota kiasi, hata porn zilikuwa zinaonekana kwenye magazeti, Mkapa alipunguza ujinga huo, baada ya kuondoka ujinga kwenye media umeingia kwa kiasi kikubwa. Hata hivyo wakati wa Mkapa kulikuwa na uhuru wa kumchora Ben Mkapa hata kwenye magazeti hata kabla ya JK kuwa rais, so uhuru ulikuwepo. Ben Mkapa alichokuwa anafanya ni kuwalima waandishi wa habari wachovu, wababaishaji, na wanaotumiwa, kwa kuwa ana uwezo wa kujua ni waandishi gani walio serious ni waandishi wa fitna. Hakuwa na makundi ya watu wanaotumia media kueneza fitan chuki za kidini, mgawanyo na makundi ndani ya chama.

Sasa hivi media imekuwa ni tool ya fitna,
 
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.

Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)

Kumkubali mtu huanza pole pole kama hivi ! bravo
 
Uhuru gani wa kuzungumza na huku anatuua na njaa; mwenye njaa hawezi kuzungumza maneno ya maana!!
<br />
<br />

Wabongo bana!!! Mtu akibania dili hafai hajui kazi huyo!

Mko ki dili dili
 
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.

Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)

Tanzania ya leo ni tofauti na Tanzania ya Mkapa, Kikwete aliwekwa madarakani na vyombo vya habari, kwa ufupi ni rais aliyewezeshwa na vyombo vya habari katika uchaguzi wa mwaka 2005. hivyo nguvu ya vyombo vya habari anaijua, vilevile hana technique za kuwezesha vyombo vya habari vinyamaze. hivyo uchaguzi pekee alionao ni kuwaacha huru kwa sababu ni wachache wanaompinga, wengi bado wanamsapoti. hivyo Hajawapa uhuru wa kuongea, amelazimika kuwapa
 
JK hajawahi kuwahadaa ama kuwasuta watu wa media kama Mkapa, ameruhusu mno uhuru wa media nasi kujadili ndani-nje bila vikwazo juu ya utawala wake.

Hii JF yetu enzi za mzee Ben...ingalishafungwa kitambo na kusahaulika.
hii ni kweli kabisa! lakini ni kwa sababu MTU MWENYEWE NI "KIZIWI" SASA WATEGEMEA KIZIWI AZUIE WATU KUONGEA??? WENGINE HAWAKUWA VIZIWI BWANA:mullet:!
 
Kama ni hivyo waandishi wangekua free kuongea na kureport. Mambo mengi yamepigwa chini. Siko 100percent na hii statement maana ukiangalia kwa mfano situation ya zeutamu,haikufungwa mpaka jk alivyowekwa kwenye site ndio ghafla ikafungwa. Yani we acha tu.
 
huyo jk wako naye hatumtaki hebu ona ma noti bandia yalivyozagaa watu wanakamatwa hovyo na kupelekwa polisi eti kisa noti fake lkn mtu hapo katoka kutoa pesa kwenye atm tena ya exim bank halafu akarudi pale exim eti wanakataa hawana hizo pesa eximmmmmmmmmmmm mnachakachuliwa na noti bandia eti wanamwambia akumbuke alikozitoa (over my foot) damn hizi bank zetu customer care zao ni zero kabisaaaaaa.

Sasa haya yote yamekuja sababu ya usimamizi wa huju juma kilaza(jk) hakuna anachofanya mpaka tunaletewa mijinoti fake na bot halafu wanayanadiiii bila hata aibu ptuuuuuuu.


hakika huu ndiyo umaskini wa akili. Suala na noti bandia jk anahusikaje kama siyo kudhihirisha chuki isiyo na sababu. Halafu unailaumu bot kwa lipi. Kwani hizo noti bandia zimetolewa na bot. Unashindwa kuelewa kwamba umepata uwezo wa kuzitambua noti bandia kwa sababu alama zilizopo kwenye noti halali za bot zinajipambanua vizuri na kwa urahisi na hizo noti feki.

Ukweli ni kwamba jk ametoa uhuru ambao hata mimi naujutia maana watu kama nyie hamkutakiwa kusikika kabisa maana kila mnaponyanyua mdomo mnayoyaongea ni pumba na maudhi tu. Huko ambako uhuru wa kuongea umaminywa nao wana katiba lakini mkono wa chuma wa watawala ndiyo unaowatia adabu. Waswahili wanasema samaki ndani ya maji haoni umuhimu wa maji mpaka pale wimbi la ukombozi linapomtoa kutoka ufukweni na kumrejesha baharini ndipo hugundua kwamba bila maji yeye hana maisha. Mtamkumbuka huyu! Nyie leteni tu chuki na ushabiki usio na maana!
 
Kama ni hivyo waandishi wangekua free kuongea na kureport. Mambo mengi yamepigwa chini. Siko 100percent na hii statement maana ukiangalia kwa mfano situation ya zeutamu,haikufungwa mpaka jk alivyowekwa kwenye site ndio ghafla ikafungwa. Yani we acha tu.

Umenikumbusha kitu: Jambo Forum! nayo hivi iliishia wapi na ulikuwa wakati wa utawala wa nani ??
 
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya wana maisha bora kuliko hata raia wa Misri, lakini hawautaki utawala wa Gaddafi kwa sababu wananyimwa uhuru wa kuzungumza. Ukitaka kuzungumza lazima ufanye hivyo 'kwa hisani ya Gaddafi'.

Bravo Mkwere!! (Lakini naskitika sijawahi kukupigia kura, na hiyo haikuwa kwa bahati mbaya. hata ukigombea leo sikupi)

Ulianza vibaya nikataka kuacha kusoma thread yako lakini nikajipa moyo na kumalizia. Anyway, maoni yako siyo mabaya. Lakini kwangu mimi uhuru wa kuongea/habari sioni umuhimu wake kama wananchi wana njaa.
 
Tatizo kubwa la JK ni timu yake..ina udhaifu karibu kila kona..pia hatujui timu yake anayoiamini yeye inatupeleka wapi..!?

Kwa mtazamo wangu ameshindwa kabisa kupata timu kamili ya wachapakazi wanaolijua hilo na ndio maana utaona utendaji wa serikali yake umejaa dharura nyingi.

Mambo yanaendeshwa kwa dharura.

Ndio maana wananchi wengi wamepoteza mapenzi, imani na matumaini kwa serikali yake.

Tatizo lipo kwake siyo timu. Msitake kumwepusha na udhaifu wa uongozi wake. The guy is incapable even in making use of the available human resource!!!! Ni rais wa ajabu sana. Hata Idd Amin Dada alikuwa na uwezo wa kuchagua na kuunda timu nzuri lakini siyo mkwere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom