Masoud Kipanya'KP' anasema yeye anaunga mkono hoja ya Zitto maana ki uhalisia pesa zilizokwapuliwa ni nyingi mno,pia akaenda mbali na kusema kuwa anaisi kuwa kuna wabunge wa upinzan wanaweza kugoma kuunga mkono hoja ni kwakuwa tu imetoka upande wa CHADEMA,hivyo kuunga mkono hoja ya zitto kwao haitakua jambo jema,ina maana kuwa wabunge kutoka CUF,TLP,UDP NA N.C.C.R wanaweza wasisaini.
Sos:times fm
Sos:times fm