Hadi sasa taarifa za awali zinaonesha TRUMP anaongoza.
Unauzungumzia utabiri Wa manabii huyu endapo matokeo yataendelea kuwa hivi?
=======
Nigerian prophet TB Joshua says Clinton will win US election
10:15 07/11/2016
Lagos - Nigerian prophet TB Joshua of the Synagogue Church of nations (SCOAN), has predicted that Hillary Clinton will win the US presidential election in a "narrow victory" against her Republican rival Donald Trump.
TB Joshua's declaration came as the world's attention focused on the contentious US elections slated for Tuesday November 8.
He made the disclosure while speaking to a packed congregation at the SCOAN on Sunday.
TB Jushua claimed that he saw it all in a vision 10 days ago.
UPDATE S
Punde baada ya mshindi Wa urais nchini marekani; IUtabiri Wa nabii uliondolewa katika mtandao Wa Facebook; lakini punde hivi Leo utabiri huo umerejeshwa tena Kwa madai kwamba ulifutwa kimakosa.