Nina wasiwasi na elimu inayotolewa Kampala International University tawi la Dar

Siyo chuki mkuu, mm ni mwalimu pale. Naumia sana kuona uduni wa ufundishaji pale, nikilinganisha na chuo nilikotoka. Na pia naumia sana na quality ya wanafunzi tunaoletewa pale.

Kama una access ya mwalimu yeyote wa UDOM, jaribu kumpeleleza
Vpi mlacha kaka.duh polen wanazalishwa watalam vilaza
 
TCU wawe makini na kufatilia vyuo vikuu,siyo KIU tu hata vyuo vingi vya private kuna madudu mengi ambayo yanafanyika.Vyuo vkuu vingne tena vya sayansi vinafunguliwa wakati hakuna vifaa vya maabara kwa mwendo huu ukiunganisha na ya KIU naweza sema kuna harufu ya rushwa kwenye usajili wa hivi vyuo na hata usajili wa wanafunzi unaofanywa na TCU.
 
HAPO KWENYE RED: You may be right, lkn kumbuka kuwa UDOM ni kama chuo cha ccm kiutawala (ingawa majority ya wanafunzi na workers ni CDM), kwa hiyo maagizo ya ki-ccm yapo mengi, na haya yaingilia uhuru University. Ningeweza kukupa mifano hai lkn naogopa ku-disclose my identity.

Ndugu zako hawalalamiki huenda kwa sababu hawana alternative. Walalamike ili wakapate wapi degree? Wengi wa wanafunzi wanaokuja UDOM ni vilaza, na bahati mbaya wanakuta walimu ambao actually bado hawajawa walimu!! I hope you know what I mean.

Dah..kama ni kweli basi ubora wa elimu yetu uko mashakani sana
 
HAPO KWENYE RED: You may be right, lkn kumbuka kuwa UDOM ni kama chuo cha ccm kiutawala (ingawa majority ya wanafunzi na workers ni CDM), kwa hiyo maagizo ya ki-ccm yapo mengi, na haya yaingilia uhuru University. Ningeweza kukupa mifano hai lkn naogopa ku-disclose my identity.

Ndugu zako hawalalamiki huenda kwa sababu hawana alternative. Walalamike ili wakapate wapi degree? Wengi wa wanafunzi wanaokuja UDOM ni vilaza, na bahati mbaya wanakuta walimu ambao actually bado hawajawa walimu!! I hope you know what I mean.

Futa kauli yako mimi nasoma Udom na ninakaa chumba kimoja na mtu anayesoma BAED hakuwai kuniambia matokeo yake ila kuna siku niliona cheti chake cha form six amepata one ya sita.Na mimi nilipata two kuna rafiki yangu nililingana nae matokeo ya form six yupo Udsm.Hivi kwanini kinapoongelewa chuo chochote mwisho wa siku mnakiingiza na Udom hiyo ni sawa na anapoongelewa msanii yoyote mwisho wa siku wanamuingiza na Diamond.Aya endeleeni ila mnazidi kutupa umaarufu.
 
Futa kauli yako mimi nasoma Udom na ninakaa chumba kimoja na mtu anayesoma BAED hakuwai kuniambia matokeo yake ila kuna siku niliona cheti chake cha form six amepata one ya sita.Na mimi nilipata two kuna rafiki yangu nililingana nae matokeo ya form six yupo Udsm.Hivi kwanini kinapoongelewa chuo chochote mwisho wa siku mnakiingiza na Udom hiyo ni sawa na anapoongelewa msanii yoyote mwisho wa siku wanamuingiza na Diamond.Aya endeleeni ila mnazidi kutupa umaarufu.

Dah..kama ni kweli basi ubora wa elimu yetu uko mashakani sana

Mi mwenyewe nna ndugu zangu wawili waliochaguliwa education udom BSc E mmoja alikuwa na division two ya 9 PCB mwngne na three ya kwanza ya 10 ya PCB.
Hawa wote walirudi nyumbani mwaka huu wanaomba tena.
 
Unajua UDOM ni chuo ambacho kipo huru!mwanafunzi yeyote awe na matokeo yoyote yale muhim awe na sifa husika za kusoma kozi alochagua!kuna wenye div 1,2,3 cdhan kwa div 4 labda ka ana crdt zinazotakiwa ktk kozi husika!wapo walokuja na div 1 wamedisco,wengine wana 3 zao na wanamaliza chuo wapo fresh!UDOM ni chuo ambacho ucpojitambua utamaliza ukiwa huna kitu kwan inahitajika juhud binafs nyingi!Kwa kozi ka za uhandisi walim wanakuwa wa mda(Part timers) kwa mwanafunzi anaejielewa anawatumia sana hao walim!Wapo baadhi tunawasumbua kila cku kupitia simu na emails kuwauliza wakiwa vyuon mwao Kuwa competent ni juhud ya mwanafunzi hata usome chuo gan
 
Vyuo vyetu vingi kama si vyote vina matatizo ila ni ukweli usiopingika kuwa vyuo vikuu vya serikali vina unafuu kidogo kwasababu ya support vinavopata toka serikali kama mishahara, pesa za luzuku pamoja na mambo mengine mengi tofauti kabisa na vyuo binafsi ambavyo hutegemea ada na misaada mbalimbali kujiendesha. Katika hali hiyo, ndio maana siku hizi tunaona mtu mwenye D mbili anapewa nafasi ya kujiunga na Certificate, Diploma, Degree, Masters na hata PHD mwisho wa siku tunakuwa na Professors wengi wasio na tija kwa taifa letu. Pili wahadhiri wengi hasa katika vyuo binafsi hawana sifa stahiki kwasababu watu wengi (wahadhiri) hukimbilia serikalini kwasababu mbalimbali kama masuala ya pension etc. Ukienda mfano SAUT, St. John, Tumaini Makumira, RUCO, KIU, SEKOMU, Mount Meru etc wanapokea Tutorial Assistants wenye Undergraduate GPA ya 3.5 na Assistant Lecturers wenye GPA ya 3.8 compared to Public Universities ambawo wanachukua Tutorial Assistants wenye GPA ya 3.8 na Assitant Lecturers wenye GPA ya 4.0. Ni hayo tu
 
Siyo chuki mkuu, mm ni mwalimu pale. Naumia sana kuona uduni wa ufundishaji pale, nikilinganisha na chuo nilikotoka. Na pia naumia sana na quality ya wanafunzi tunaoletewa pale.

Kama una access ya mwalimu yeyote wa UDOM, jaribu kumpeleleza

Duh...kwa hali hiyo sio bure kinaitwa chuo cha kata,
 
Mi naona tujiulize kulikoni... Elimu ya Tz... sio KIU tu

Mkuu usiishie hapo,jaribu kuangalia products za hivi vyuo katika interview na performance ya kazi especcially katika public au international organizations ndio utaihurumia TZ.
 
Mi mwenyewe nna ndugu zangu wawili waliochaguliwa education udom BSc E mmoja alikuwa na division two ya 9 PCB mwngne na three ya kwanza ya 10 ya PCB.
Hawa wote walirudi nyumbani mwaka huu wanaomba tena.

Walimaliza mwaka gani? Div si ni point 3 - 9.
Two point 10 - 12
Three point 13 - 17..... Au ni mimi nipo nyuma ya muda
 
Back
Top Bottom