Jamani huyo Dr.Buberwa kafanyeje tena?
Haukuangalia Jana TBC1? Alikua anaoa harusi nilikuwa inarushwa live Massa 3.
Jamani huyo Dr.Buberwa kafanyeje tena?
We tafuna majani machanga ya mpera au sukutua na Medi-Oral inapatikana pharmacy buku 3 tu. Siku chache tu uko poa.
Ngoja niutafute mzigo YouTube nicheke kidogo,hii ni new release ya bongo movie actor sangoma buberwa
Zile dawa za meno nilitumia mara moja tu na siku wahi kung'oa tena jino ingawa lipo lilitoboka lakini sina maumivu.Sijui kama ni ile dawa yake ama imetokea tu maana nilishatoa meno mawili kabla sijatumia.
Asante sana, majani ya mpera nayafanyaje? asante tena kwa ushauri kiongozi.
Tumia Touch and Go itakusaidia. Kama upo Dar nenda Benjamin Mkapa Tower kuna Pharmacy wanauza 6,000/-
Kisa cha kuzimia ni nini?Ndo alizimia Jana kwenye sherehe yake?
Hata sijuiKisa cha kuzimia ni nini?
Binafsi nahisi atakuwa anamatatizo ya kiafya.. maana mara yabkwanza namfahamu alkuwa anatangaza dawa ya meno enzi hzo kama miaka 5 nyuma alkuwa fresh tu.. ila nowdays kazeeeka ghaflaHata sijui
Niliona tu mtu kazimia live kwenye tv