ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Napenda kuonyesha wasiwasi wangu juu ya hayo mabadiliko ya baraza la mawaziri kwamba; ni madiliko kweli au ni sawa na kuchukua hela mfuko wa kushoto na kuzihamishia mfuko wa kulia? Tunataka liwe baraza lenye kubadilika kweli kuliko kuacha sura zile zile kwa kuzihamishia tu wizara tofauti