Nina ushawishi, [hakuna sababu ya kuajiriwa]

uttoh2002

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
14,593
26,206
Ndugu wana Jamvi,

Baada ya mda mrefu wa utafiti na kutafakari sana napenda kusema nilichogundua ni kwamba "Hakuna sababu ya mtu kuajiriwa" na kama kuna mtu anaweza kuleta vigezo tofauti nitapenda kuvisikiliza. Mtu aajiriwe kwa mapenzi na kazi yake na kwa kutaka mwenyewe, ila sio kwa kulalamika na kusema mshahara ni mdogo etc.

Kitu kinachowaharibu watu wengi ni hizi shule, na security ambazo nawaambieni sio security ni utumwa "Period and point blank" Si sijasoma, I have been to school, and I have worked for a while, but after sometimes I just realize that nipo kwenye utumwa ambao nikichelewa kujichomoa itanigharimu sana.

Why do I say this?

Umeshawahi kujiuliza kwa nini unafanya kazi? unafanya kazi ili uishi, hemu tuchukue mfano wa mfanyakazi anayefanya kazi posta Dar es Salaam "maeneo yale" anakimbizana na usafiri saa 11 alfajiri, anarudi Nyumbani saa 5 usiku, kachoka, hata kama ana mtoto anaweza asimfaham, sasa swali "Maisha unayoyafanyia kazi unaishi lini?" and I am telling you the truth you will work like this for the rest of your life. When you become old, utapewa pension, na hapa utalazimishwa kuanza ujasiriamali, TOO LATE MY FRIEND, if you failed when you are young, DONT TRY it now. BETTER TRY EARLIER EVEN BEFORE YOU HAVE A WIFE.

SO people work to work, they dont work to live, because their lives has changed to be work. Nilipokuwa nafanya kazi kipindi fulani nyuma, nilikuwa naishi Tabata, nafanya kazi posta, nilikuwa nalipwa 475,000/= take home salary, ambayo ideal ni mshahara wa watu wengi walio graduate.

Kila siku jioni nikirudi home napita mahali napata vyepe naenda Kulala, nikajaribu kufanya utafiti wa huyu muuza chips na biashara yake, ana kakibanda kadogo, ka mbao, lakini kwa siku ana uwezo wa kuuza shs: 54,000 minimum. Na akaniambia anasave 20,000 kila siku baada ya gharama zake zote, pamoja na pango, kwa hiyo kwa mwezi anaweza kuzalisha shs: 600,000/= "He is simply standard 7; hawai kazini kama wewe, anaamka saa 4, he is free, office haimfungi, akitaka kumtembelea mtu anaweza, anachokikosa ni security ambayo wewe unasema unayo, lakini nakuambia hauna, KAMA UNABISHA NENDA KINYUME NA BOCY HATA KAMA kakosea utaona kama una security!

Hemu nipeni nafasi niwaeleze maisha ya mtu aliyegraduate kama ninavyoayaona labda yatawapa HASIRA! Anamaliza Shule anapata kazi, analipwa 500,000 net per months, anapanga Nyumba 150,000 kwa mwezi. Baada ya mda na kwa kutaka kuwaiga wenzake anachukua mkopo wa 6m, ananunua gari, hivyo for the next 6 years I can say, anaingia kwenye utumwa wa commitment ya kulipa deni.

Kwa haraka haraka, 500,000 - 200,000 ya deni anabakiwa na shs: 300,000 kwa mwezi, matumizi ya mafuta kwa mwezi sema 100,000, kodi ni shs: 150,000 kwa mwezi, ideal anabakiwa na shs: 50,000 to survive, the same person weekend atapenda kwenda na kamkoko kake Bar na Mke, au demu wake na kuhonga sana.

Imagine huu utumwa ni wa miaka 6 toka sasa, either atakuwa mwizi au sound and kupiga mizinga kila siku, at the end of the day sio mwaminifu. Baada ya mda, anaoa, mtoto wa kwanza, then wapili, naambia ukweli ukifikia hapa nafasi na ujasiri wa kuwa mjasiriamali unaanza kuyoyoma, unaogopa sasa na kuwa na wasiwasi.

Baada ya miaka 6 deni likiisha, utaona mda unaenda, utatafuta mkopo mwingine ujenge, ninakuhakikishia hili ni jambo jema ila ujue tu ndo adventure ya mwisho maishani mwako. Ukimaliza nyumba na kusomesha, ushakuwa Mzee kwa sense fulani, utazeeka umeajiri, with blood pressure na hautakuwa na nafasi ya kuishi maisha unayoyataabikia.

Let me end here for now,

But more to come,

Thanks.
 
ni ukweli usiopingika kuwa kuajiriwa ni utumwa na unakuwa huna uhuru na maisha yako
 
Sasa kama hutaki tuajiliwe please weka bussiness plan ambazo unaona vijana kama sisi zitatufaa tujiajiri na sio hadidhi hadithi za Sungura na Fisi
 
Endelea kuajiriwa Kaka, for that comment this is not for you, who makes you a business plan? how will you be responsible? the business should come from you and you yourself, you will be helped and guidelines only ...
@bornagain
 
Aisee umenikosha,hyo plan nipo nayo loong sana,nimeshafanyia kaudadisi kidogo,natafuta eneo tu nianze. nna one year kazini ila dah naona natumika tu ukilinganisha na uchapakazi wangu basi inaniumiza sana kichwa.
 
Mkuu kwanza niseme mawazo yako ni sahihi kwa upande mmoja na hayako sahihi kwa upande mwingine. Kama uliifuatilia thread moja ambayo bado wadau wanaijadili yenye heading "there is no need for a masters degree for an enterpreneur" nafikiri ungekwisha pata michango ya kutosha kulingana na mada uliyo ianzisha. kwenye hiyo thread niliyo itaja wadau kama wakina voiceofreason wamechambua hali halisi ya mazingira ya kijana wa kitanzania.

Fikiria kijana anayetegemea kumaliza degree yake mwezi mei/juni mwaka huu ambaye hata ile fedha kidogo anayopata toka bodi ya mikopo kwa ajili ya kujikimu, inabidi awamegee nyumbani kwao kiasi kidogo hata kama ni sh 30,000 ili ziwapige tafu. Huyu kijana yeye kwao ndiye mkombozi. leo unamuambia atoke chuo akatae kuajiliwa itawezekana? Huo ujasiriamali atauingia na mtaji upi? Kumbuka financial institutions zetu haziwezi kumkopesha huyu kijana eti akaanzishe biashara. yeye wanasema hakopesheki, hebu mpe maujanja afanyeje?


Mdau mmoja kwenye thread niliyoitaja hapo juu alifafanua vizuri kwa kusema ni vyema kijana huyu akaitumia ajira yake ya kwanza kuweka base yakumuwezesha kuingia huko kwenye ujasiriamali. Tahadhari iliyotolewa ni kijana huyu kujiepusha kuwekeza kipato chake kidogo kwenye liabilities kama Hiyo mikopo ya magari, na anasa zisizo za lazima!


Voiceofreason akaja na fomula kwamba kijana huyu anatakiwa a- spend less than he/she earn, save, reinvest and save. Naamini huyu kijana anaweza kuja kuachana na kuajiriwa baada ya muda fulani ikiwa ataifuata kanuni hiyo.
 
Cha kuongezea tu ni kuwa, kabla majukumu hayajawa' mengi (family, watoto nk) ni vyema kuwa na mawazo ya kujiajiri mwenyewe, hiyo security unayoongelea kweli ni kikwazo kikubwa sana haya majukumu yakisha kuwa a must consideration.
 
Ndugu wana Jamvi,

Baada ya mda mrefu wa utafiti na kutafakari sana napenda kusema nilichogundua ni kwamba "Hakuna sababu ya mtu kuajiriwa" na kama kuna mtu anaweza kuleta vigezo tofauti nitapenda kuvisikiliza. Mtu aajiriwe kwa mapenzi na kazi yake na kwa kutaka mwenyewe, ila sio kwa kulalamika na kusema mshahara ni mdogo etc.

Kitu kinachowaharibu watu wengi ni hizi shule, na security ambazo nawaambieni sio security ni utumwa "Period and point blank" Si sijasoma, I have been to school, and I have worked for a while, but after sometimes I just realize that nipo kwenye utumwa ambao nikichelewa kujichomoa itanigharimu sana.

Why do I say this?

Umeshawahi kujiuliza kwa nini unafanya kazi? unafanya kazi ili uishi, hemu tuchukue mfano wa mfanyakazi anayefanya kazi posta Dar es Salaam "maeneo yale" anakimbizana na usafiri saa 11 alfajiri, anarudi Nyumbani saa 5 usiku, kachoka, hata kama ana mtoto anaweza asimfaham, sasa swali "Maisha unayoyafanyia kazi unaishi lini?" and I am telling you the truth you will work like this for the rest of your life. When you become old, utapewa pension, na hapa utalazimishwa kuanza ujasiriamali, TOO LATE MY FRIEND, if you failed when you are young, DONT TRY it now. BETTER TRY EARLIER EVEN BEFORE YOU HAVE A WIFE.

SO people work to work, they dont work to live, because their lives has changed to be work. Nilipokuwa nafanya kazi kipindi fulani nyuma, nilikuwa naishi Tabata, nafanya kazi posta, nilikuwa nalipwa 475,000/= take home salary, ambayo ideal ni mshahara wa watu wengi walio graduate.

Kila siku jioni nikirudi home napita mahali napata vyepe naenda Kulala, nikajaribu kufanya utafiti wa huyu muuza chips na biashara yake, ana kakibanda kadogo, ka mbao, lakini kwa siku ana uwezo wa kuuza shs: 54,000 minimum. Na akaniambia anasave 20,000 kila siku baada ya gharama zake zote, pamoja na pango, kwa hiyo kwa mwezi anaweza kuzalisha shs: 600,000/= "He is simply standard 7; hawai kazini kama wewe, anaamka saa 4, he is free, office haimfungi, akitaka kumtembelea mtu anaweza, anachokikosa ni security ambayo wewe unasema unayo, lakini nakuambia hauna, KAMA UNABISHA NENDA KINYUME NA BOCY HATA KAMA kakosea utaona kama una security!

Hemu nipeni nafasi niwaeleze maisha ya mtu aliyegraduate kama ninavyoayaona labda yatawapa HASIRA! Anamaliza Shule anapata kazi, analipwa 500,000 net per months, anapanga Nyumba 150,000 kwa mwezi. Baada ya mda na kwa kutaka kuwaiga wenzake anachukua mkopo wa 6m, ananunua gari, hivyo for the next 6 years I can say, anaingia kwenye utumwa wa commitment ya kulipa deni.

Kwa haraka haraka, 500,000 - 200,000 ya deni anabakiwa na shs: 300,000 kwa mwezi, matumizi ya mafuta kwa mwezi sema 100,000, kodi ni shs: 150,000 kwa mwezi, ideal anabakiwa na shs: 50,000 to survive, the same person weekend atapenda kwenda na kamkoko kake Bar na Mke, au demu wake na kuhonga sana.

Imagine huu utumwa ni wa miaka 6 toka sasa, either atakuwa mwizi au sound and kupiga mizinga kila siku, at the end of the day sio mwaminifu. Baada ya mda, anaoa, mtoto wa kwanza, then wapili, naambia ukweli ukifikia hapa nafasi na ujasiri wa kuwa mjasiriamali unaanza kuyoyoma, unaogopa sasa na kuwa na wasiwasi.

Baada ya miaka 6 deni likiisha, utaona mda unaenda, utatafuta mkopo mwingine ujenge, ninakuhakikishia hili ni jambo jema ila ujue tu ndo adventure ya mwisho maishani mwako. Ukimaliza nyumba na kusomesha, ushakuwa Mzee kwa sense fulani, utazeeka umeajiri, with blood pressure na hautakuwa na nafasi ya kuishi maisha unayoyataabikia.

Let me end here for now,

But more to come,

Thanks.

kwenye blue hapo: Ushauri makini kwa ambao bado hawajajiunga na chama
 
Mkuu kamata 5 kwa hii sredi niliajiriwa nikafanya kazi mwaka 1 kwa mshahara wa mchunga mbuzi, nikaamua kuacha na kuhamia huku kijijini nalima nyanya na matikiti tunayowauzia hapo dasalama na nimegundua tofauti kubwa kati ya kipindi kile nikiitwa ofisa na sasa mkulima, elimu yetu haituandai kujiajiri bali kuajiriwa jama.....
 
Ndugu wana Jamvi,
...Hemu nipeni nafasi niwaeleze maisha ya mtu aliyegraduate kama ninavyoayaona labda yatawapa HASIRA! Anamaliza Shule anapata kazi, analipwa 500,000 net per months, anapanga Nyumba 150,000 kwa mwezi. Baada ya mda na kwa kutaka kuwaiga wenzake anachukua mkopo wa 6m, ananunua gari, hivyo for the next 6 years I can say, anaingia kwenye utumwa wa commitment ya kulipa deni.

Kwa haraka haraka, 500,000 - 200,000 ya deni anabakiwa na shs: 300,000 kwa mwezi, matumizi ya mafuta kwa mwezi sema 100,000, kodi ni shs: 150,000 kwa mwezi, ideal anabakiwa na shs: 50,000 to survive, the same person weekend atapenda kwenda na kamkoko kake Bar na Mke, au demu wake na kuhonga sana...

Kamanda uliyoyasema ni ya kweli tupu, lakini nami ninaona ni busara nikiongezea kitu ili kuboresha. Kwanza niseme kwamba, nami niliwahi kufanya utafiti (usio rasmi) kama huu na nilichogundua kinashangaza kidogo.

Kama mapato kwa mwezi ni Tsh. 500,000/=. Halafu matumizi kwa mwezi ni Tsh. 700,000/= bila kujumlisha mavazi, home appliances, maintanance, healthcare, msaada kwa ndugu na socialisation (Tsh: 200,000/=--marejesho, 150,000/= --- rent, 100,000/=---fuel consumption, 150,000/= chakula, 30,000/= -- umeme, 5000/=-- maji, 70,000/= --airtime + internet) huyu mtu atafanikiwa vipi? Na hapo hakuna savings kabisa amabo ndio msingi wa kuwekeza!!?
First of all huyu mtu anaishi vipi kwa matumizi yanayozidi kipato chake halisi? Na hapo hatujazungumzia kama mtu ana familia!

Jibu la haraka na ndivyo utafiti wangu ulivyoonyesha ni kwamba watanzania wengi ni wezi na wanapokea rushwa, wao wanasema wanapiga deal. Na wale wachache ambao ni waaminifu na wazalendo (wasioiba wala kupokea rushwa) wana miradi modogo midogo majumbani mwao

Jamani tubadilike, najua hatuwezi kujiajiri wote kama ambavyo hatuwezi kuajiriwa wote basi wale walioajiriwa wawe corporate entrapreneurs sio kufanya kazi ili mradi liende, na wale waajiri (business & social entrepreneurs) basi watoe kipaumbele kwenye maslahi ya wafanyakazi wao ili tuwe na mfumo wa win win
 
Mkuu hii ni moja ya story nzuri sana na na naipa No 1kati ya story zinazo nivutia.

MKUU KWA KWELI INASIKITISHA SANA MKUU NA SI SWALA LA KUFURAHISAHA HATAKIDOGO MKUU.

Mkuu Kazi ni utumwa kwa kweli na mimi naifananisha na Madawa yakulevya, Pombe, Sigara,na kazalika na nahisi kama, MKUU MTU AKISHA INGIA KWENYEKAZI KUTOKA NI VIGUMU SANA TENA MNO NA ANAKUWA MTUMWA WA KAZI

Kuna mambo mengi sana yanachangia Vijana wengi kupenda sana kazi zakuajiriwa, VIJANA TUNAONA HESHIMA IKO KWENYE KUAJILIWA HAIJALISHI UNALIPWA SHNGAPI MKUU NA WAFANYA BIASHARA WANAONEKANA SI KITU KABISA NA MARA NYINGIWAFANYAKAZI WANAWADHARAU SANA WAFANYA BIASHARA, MFANO MWENDESHA GUTA YA KUBEBAMIZIGO PAPLE KARIAKOO DHAHIRI ATAKUWA NA KIPATO KIKUBWA KULIKO WAFANYA KAZIWENGI SANA TENA GRADUATE HATA MASTERS BUT AILIMIA 100 YA WAFANYAKZAXI HUWAWANAWADHARAU SANA HAWA WATU

HII KITU YA KUAJILIWA SI RAHISI IONDOKE KWENYE DAMU ZA WATU KWA SABABUIMEANZIA MBALI SANA MKUU


1. Wazazi wetu- wengi tumezaliwa tukakuta wazazi wetu ni wafanya kaziwanatoka asubuhi wanarudi jioni na wanalipwa mwisho wa mwezi hivyo tumerith kwawazazi wetu na wao walikuwa wanatusisitizia tusome tuje kuwa na kazi nzuri nasio tusome tuje kuwa wafanya biashara wazuri

2. Walimu shuleni- Hawa ni waajiriwa na wao huwa wanatusisitizia tusometuje kuwa na kazi nzuri sana tena tuwe madakatari au mameneja- hili ni kosakubwa sana


3. Marafiki,ndugu na jamaa- watu wengi wanaotuzunguka wanafanya kazihivyo wanatuvutia sana kuingia kwenye kazi ili na sisi tuwe na maisha mazurikama yao

4. Serikali yetu- Nayo mambo ni yale ina hamasisha watu kuajiliwabadala ya kuhamasisha watu wajiajiri, haiwezekani serikali kila siku inaimbakuwavutia wawekezaji wa nje ili watoe ajira kwa vijana wa Tanzania badala yakuwahamasisha vijana wa Kitanzania wawe wafanya biashara na hata wakawekeze nawao nje kana investors

5. Elimu yetu kuanzia chekechea hadi Chuo kikuu- Inahubiri kaajiriwa tuhaiongelei kingine zaidi ya kuajiriwa, vijana tunasoma ili tuajiriwetunashindana kutafuta GPA kari ili tuajiriwe na si kuelewa ili tukawe wajiri

6. Ujamaa wetu nao bado uko Damuni

MKUU SUCCESSFUL IS GENETIC NDO MAANA HUONI WAHINDI WAFANYA KAZI KAMAWAPO NI WACHACHE SANA,
Mtoto wa kihindi anakua anakuta wazazi ni wafanya baishara Mjombamfanya biashara, shangazi mfanya biashara, majirani wafanya biashara, marafikiwafanya biashara- HUYU HAWEZI KUACHA KUWA MJASIRIMALI HATA SIKU MOJA

 
Mkuu hii ni moja ya story nzuri sana na na naipa No 1kati ya story zinazo nivutia.

MKUU KWA KWELI INASIKITISHA SANA MKUU NA SI SWALA LA KUFURAHISAHA HATAKIDOGO MKUU.

Mkuu Kazi ni utumwa kwa kweli na mimi naifananisha na Madawa yakulevya, Pombe, Sigara,na kazalika na nahisi kama, MKUU MTU AKISHA INGIA KWENYEKAZI KUTOKA NI VIGUMU SANA TENA MNO NA ANAKUWA MTUMWA WA KAZI

Kuna mambo mengi sana yanachangia Vijana wengi kupenda sana kazi zakuajiriwa, VIJANA TUNAONA HESHIMA IKO KWENYE KUAJILIWA HAIJALISHI UNALIPWA SHNGAPI MKUU NA WAFANYA BIASHARA WANAONEKANA SI KITU KABISA NA MARA NYINGIWAFANYAKAZI WANAWADHARAU SANA WAFANYA BIASHARA, MFANO MWENDESHA GUTA YA KUBEBAMIZIGO PAPLE KARIAKOO DHAHIRI ATAKUWA NA KIPATO KIKUBWA KULIKO WAFANYA KAZIWENGI SANA TENA GRADUATE HATA MASTERS BUT AILIMIA 100 YA WAFANYAKZAXI HUWAWANAWADHARAU SANA HAWA WATU

HII KITU YA KUAJILIWA SI RAHISI IONDOKE KWENYE DAMU ZA WATU KWA SABABUIMEANZIA MBALI SANA MKUU


1. Wazazi wetu- wengi tumezaliwa tukakuta wazazi wetu ni wafanya kaziwanatoka asubuhi wanarudi jioni na wanalipwa mwisho wa mwezi hivyo tumerith kwawazazi wetu na wao walikuwa wanatusisitizia tusome tuje kuwa na kazi nzuri nasio tusome tuje kuwa wafanya biashara wazuri

2. Walimu shuleni- Hawa ni waajiriwa na wao huwa wanatusisitizia tusometuje kuwa na kazi nzuri sana tena tuwe madakatari au mameneja- hili ni kosakubwa sana


3. Marafiki,ndugu na jamaa- watu wengi wanaotuzunguka wanafanya kazihivyo wanatuvutia sana kuingia kwenye kazi ili na sisi tuwe na maisha mazurikama yao

4. Serikali yetu- Nayo mambo ni yale ina hamasisha watu kuajiliwabadala ya kuhamasisha watu wajiajiri, haiwezekani serikali kila siku inaimbakuwavutia wawekezaji wa nje ili watoe ajira kwa vijana wa Tanzania badala yakuwahamasisha vijana wa Kitanzania wawe wafanya biashara na hata wakawekeze nawao nje kana investors

5. Elimu yetu kuanzia chekechea hadi Chuo kikuu- Inahubiri kaajiriwa tuhaiongelei kingine zaidi ya kuajiriwa, vijana tunasoma ili tuajiriwetunashindana kutafuta GPA kari ili tuajiriwe na si kuelewa ili tukawe wajiri

6. Ujamaa wetu nao bado uko Damuni

MKUU SUCCESSFUL IS GENETIC NDO MAANA HUONI WAHINDI WAFANYA KAZI KAMAWAPO NI WACHACHE SANA,
Mtoto wa kihindi anakua anakuta wazazi ni wafanya baishara Mjombamfanya biashara, shangazi mfanya biashara, majirani wafanya biashara, marafikiwafanya biashara- HUYU HAWEZI KUACHA KUWA MJASIRIMALI HATA SIKU MOJA
 
Ndugu wana Jamvi,

Baada ya mda mrefu wa utafiti na kutafakari sana napenda kusema nilichogundua ni kwamba "Hakuna sababu ya mtu kuajiriwa" na kama kuna mtu anaweza kuleta vigezo tofauti nitapenda kuvisikiliza. Mtu aajiriwe kwa mapenzi na kazi yake na kwa kutaka mwenyewe, ila sio kwa kulalamika na kusema mshahara ni mdogo etc.

Kitu kinachowaharibu watu wengi ni hizi shule, na security ambazo nawaambieni sio security ni utumwa "Period and point blank" Si sijasoma, I have been to school, and I have worked for a while, but after sometimes I just realize that nipo kwenye utumwa ambao nikichelewa kujichomoa itanigharimu sana.

Why do I say this?

Umeshawahi kujiuliza kwa nini unafanya kazi? unafanya kazi ili uishi, hemu tuchukue mfano wa mfanyakazi anayefanya kazi posta Dar es Salaam "maeneo yale" anakimbizana na usafiri saa 11 alfajiri, anarudi Nyumbani saa 5 usiku, kachoka, hata kama ana mtoto anaweza asimfaham, sasa swali "Maisha unayoyafanyia kazi unaishi lini?" and I am telling you the truth you will work like this for the rest of your life. When you become old, utapewa pension, na hapa utalazimishwa kuanza ujasiriamali, TOO LATE MY FRIEND, if you failed when you are young, DONT TRY it now. BETTER TRY EARLIER EVEN BEFORE YOU HAVE A WIFE.

SO people work to work, they dont work to live, because their lives has changed to be work. Nilipokuwa nafanya kazi kipindi fulani nyuma, nilikuwa naishi Tabata, nafanya kazi posta, nilikuwa nalipwa 475,000/= take home salary, ambayo ideal ni mshahara wa watu wengi walio graduate.

Kila siku jioni nikirudi home napita mahali napata vyepe naenda Kulala, nikajaribu kufanya utafiti wa huyu muuza chips na biashara yake, ana kakibanda kadogo, ka mbao, lakini kwa siku ana uwezo wa kuuza shs: 54,000 minimum. Na akaniambia anasave 20,000 kila siku baada ya gharama zake zote, pamoja na pango, kwa hiyo kwa mwezi anaweza kuzalisha shs: 600,000/= "He is simply standard 7; hawai kazini kama wewe, anaamka saa 4, he is free, office haimfungi, akitaka kumtembelea mtu anaweza, anachokikosa ni security ambayo wewe unasema unayo, lakini nakuambia hauna, KAMA UNABISHA NENDA KINYUME NA BOCY HATA KAMA kakosea utaona kama una security!

Hemu nipeni nafasi niwaeleze maisha ya mtu aliyegraduate kama ninavyoayaona labda yatawapa HASIRA! Anamaliza Shule anapata kazi, analipwa 500,000 net per months, anapanga Nyumba 150,000 kwa mwezi. Baada ya mda na kwa kutaka kuwaiga wenzake anachukua mkopo wa 6m, ananunua gari, hivyo for the next 6 years I can say, anaingia kwenye utumwa wa commitment ya kulipa deni.

Kwa haraka haraka, 500,000 - 200,000 ya deni anabakiwa na shs: 300,000 kwa mwezi, matumizi ya mafuta kwa mwezi sema 100,000, kodi ni shs: 150,000 kwa mwezi, ideal anabakiwa na shs: 50,000 to survive, the same person weekend atapenda kwenda na kamkoko kake Bar na Mke, au demu wake na kuhonga sana.

Imagine huu utumwa ni wa miaka 6 toka sasa, either atakuwa mwizi au sound and kupiga mizinga kila siku, at the end of the day sio mwaminifu. Baada ya mda, anaoa, mtoto wa kwanza, then wapili, naambia ukweli ukifikia hapa nafasi na ujasiri wa kuwa mjasiriamali unaanza kuyoyoma, unaogopa sasa na kuwa na wasiwasi.

Baada ya miaka 6 deni likiisha, utaona mda unaenda, utatafuta mkopo mwingine ujenge, ninakuhakikishia hili ni jambo jema ila ujue tu ndo adventure ya mwisho maishani mwako. Ukimaliza nyumba na kusomesha, ushakuwa Mzee kwa sense fulani, utazeeka umeajiri, with blood pressure na hautakuwa na nafasi ya kuishi maisha unayoyataabikia.

Let me end here for now,

But more to come,

Thanks.

Ulichoandika kina ukweli kwa 100%; lakini sikusoma uchumi ila fomula hii imenisaidia sana

INCOME (I) = Consumption (C) + Savings (S)

Savings = Investment

Kwa hiyo kuwa mjasiriamali wa kweli budi kwanza uajiriwe, ujiwekee akiba then utumie akiba kama mtaji wa kuanzia. Hizo biashara za chips zinawafaa wale tuliowaacha mitaani tulipomaliza Std VII.



 
Sasa kama hutaki tuajiliwe please weka bussiness plan ambazo unaona vijana kama sisi zitatufaa tujiajiri na sio hadidhi hadithi za Sungura na Fisi

MKUU BILA SHAKA WEWE NI MOJA WA WAHANGA WA AJIRA, NI MOJA KATI YA WATU AMBAO LEO WAKIAMBIWA HAKUNA KAZI WANAWEZA KUJIUA KABISA,

Mkuu chaguo ni lako na wala hulazimishwi na hata hivyo si razima wote wawe wajasirimali kwa sababu Hata nchi kama INDIA YENYE Kiwango kikubwa sana cha wajasirimali still kuna wafanyakazi wengi sana hata CHINA kuna wafanyakazi tena mamilioni kwa mamilioni
 
kama kila m2 ataamua kujiajiri nani atamfanyia kazi mwenzie mfano je bakheresa anauwezo wa kufanya kila ki2 mwenyewe?je wewe katika biashara yako utamudu kila k2 huhitaji msaada?
 
[h=1]The #1 Wealth Equation You'll Need To Remember by T. Harv Eker - CZ=WZ[/h]


There's a story about a man who was looking for his keys under the streetlamp. He had dropped them somewhere else, but the light under the lamp was better. So he ended up searching only within his circle of light.

This is what our comfort zone often does to us. We stop looking beyond.
Here, Brian Johnson together with T. Harv Eker remind us how important it is for us to step out of our safe and comfortable zone and why.
…​
"Here's an equation I want you to remember for the rest of your life: CZ = WZ. It means your "comfort zone" equals your "wealth zone." By expanding your comfort zone, you will expand the size of your income and wealth zone."
 
kila kijana anayegraduate akiamua kujiajiri katika fani yake unafikiri kutakuwa na ufanisi katika kazi experience pia ina nafasi yake,ajira ina nafasi yake embu waza hv m2 asitegemee ajira tu kwa nchi hii ila kwa nchi nyingne ajira zinalipa vizuri.je ungechagua ipi hospitali ya graduate au ya dokta mzee kdogo mwenye uzoefu
 
Back
Top Bottom