jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,969
- 1,393
jaribu kuangalia baishara unapenda wewe kufanya then anza kidogo kidogo...na mwamini mungu natakusaidia hukiwa mwminifu..muhimu usichague kazi ndugu..kama unaweza nunua mitumba kisha peleka kwenye magulio ya vijijini huza huko hasa kipindi cha mavuno..