saidjamali
Member
- Dec 3, 2016
- 66
- 22
Za saizi wadau
Kiukweli kwa muda sasa usiopungua miezi sita nimekuwa na tatizo la nguvu za kiume. Yaani naposhiriki tendo bao la kwanza ni chap tu nimemaliza afu inachukua muda kama dk 20 ndo isimame tena.
Na sio kawaida yangu msaada jamani pengine ni kawaida au Nina tatizo
Kiukweli kwa muda sasa usiopungua miezi sita nimekuwa na tatizo la nguvu za kiume. Yaani naposhiriki tendo bao la kwanza ni chap tu nimemaliza afu inachukua muda kama dk 20 ndo isimame tena.
Na sio kawaida yangu msaada jamani pengine ni kawaida au Nina tatizo