Nina tatizo la deep vein thrombosis(dvt)

Kyemba

Member
Jun 12, 2009
12
12
Ni mwaka mzima sasa naumwa mguu, unavimba hasa nikikaa muda mrefu kama ofisini hivi,nikilala unakuwa kawaida.Madaktari wanasema damu inaganda kwenye mishipa natakiwa kutumia anticoagulants maisha yangu yote na siruhusiwi kubeba mimba.
ISSUE.
Sijabahatika kupata mtoto hata mmoja na nipo kwenye ndoa, je wanajamiii kuna mtu aliwahi kuwa na ugonjwa kama huu akapata mtoto?
Na je huu ugonjwa unatibika? Na hospitali gani wanaweza kunisaidia au nitumie nini ili nipone maana napata tabu sana.Jamani naomba msaada wenu.
 
Ni mwaka mzima sasa naumwa mguu, unavimba hasa nikikaa muda mrefu kama ofisini hivi,nikilala unakuwa kawaida.Madaktari wanasema damu inaganda kwenye mishipa natakiwa kutumia anticoagulants maisha yangu yote na siruhusiwi kubeba mimba.
ISSUE.
Sijabahatika kupata mtoto hata mmoja na nipo kwenye ndoa, je wanajamiii kuna mtu aliwahi kuwa na ugonjwa kama huu akapata mtoto?
Na je huu ugonjwa unatibika? Na hospitali gani wanaweza kunisaidia au nitumie nini ili nipone maana napata tabu sana.Jamani naomba msaada wenu.

Muombe mungu atakupa njia na utapona na kupata mtoto
Pole dear but jali zaid afya yako kwa sasa fuata ushauri wa madr.
 
Ni mwaka mzima sasa naumwa mguu, unavimba hasa nikikaa muda mrefu kama ofisini hivi,nikilala unakuwa kawaida.Madaktari wanasema damu inaganda kwenye mishipa natakiwa kutumia anticoagulants maisha yangu yote na siruhusiwi kubeba mimba.
ISSUE.
Sijabahatika kupata mtoto hata mmoja na nipo kwenye ndoa, je wanajamiii kuna mtu aliwahi kuwa na ugonjwa kama huu akapata mtoto?
Na je huu ugonjwa unatibika? Na hospitali gani wanaweza kunisaidia au nitumie nini ili nipone maana napata tabu sana.Jamani naomba msaada wenu.

DVT huwapata watu wengi, wake kwa waume wa marika yote.Bahati mbaya wengine hupoteza maisha kwa vile hawapati mabingwa wa ku diagnose hili tatizo mapema.

Bila hata kuingia kiutabibu kwa kutumia uzoefu, nitakuambia kuwa jitahidi sana kutokuwa kwenye position moja kwa muda mrefu hasa kuketi. Hizo anti coagulants unazotumia zinafanya damu yako iwe nyepesi sana na kukuweka kwenye hatari ya ku bleed to death pale utakapopata hali ya kukufanya utoke damu!

Kubeba mimba siyo issue, issue ni pale unapojifungua maana damu nyingi itatoka na hospitali zetu huwa hawajali kuchukua tahadhari. Nitakushauri uwaona mabingwa wa hematology kwa ushauri zaidi kwa vile unataka kuzaa.
 
Sometimes hizo dawa za dvt za kuyeyusha damu ndio zina madhara kwenye mimba. Mimba nayo inayeyushwa kama sikosei
 
Naamini kwa uweza wake Mungu lolote lawezekana, fuata ushauri wa madaktari na unaweza fanikiwa pata mtoto
 
Nashukuru sana wana jamii kwa ushauri nitajitahidi kuufuata.Je anticoagulants naweza ziacha

?
 
mama kwanza pole sana kiukweli tatizo halina dawa ya maana wasikudanganye kuwa eti kuna madaktari bingwa mabingwa.Nasikitika kukuambia hili ila ni mwaka jana mama angu mkubwa ambaye naye alikuwa na tatizo kama lako lakini akaamua kubeba ujauzito lol! Damu ilimtoka sana lakini kama ujuavyo MUNGU mkubwa akaponea chupuchupu lakini mtoto akafa baadae hali ikazidi kuwa mbaya sana ndipo tulimpeleka kwa TB JOSHUA kwa maombezi chaajabu Akapona na leo anawatoto wa nne.Kiukweli hata ukienda India hutapata tiba ya maana kwani na sisi ilikuwa hivyo.Ushauri nenda kwa TB JOSHUA kama kweli unataka kuishi au kama unataka kufa endelea kung'ang'ania hao madokta.
 
Back
Top Bottom